Mi nalia na UDINI,honestly unanikera mno,awe mtu yeyote,anaeikashifu dini yeyote
halafu kuna mambo now ni very serious kwa future ya taifamfano hii eat africa unification inayokuja...but ukikuta thread zinazohusu east safrica issues,huoni kabisa watu wakichangia sanaitatu cost nionavyo mimi