May be sasa umefika wakati JF iwe katika pande mbili au kuwe na members wa aina mbili, yaani wale wa kuchangia kutokana na weledi na uelewa bila kuweka ushabiki, kejeli, ujinga n.k. kama JF ya kabla ya 2010 (wawe na jukwaa lao na Mods wawe wanamoderate nani wa kuwa jukwaa hilo) na pia kuwa na jukwaa hili la jamaa zetu wa majungu, udini, ushabiki wa vyama n.k.
Limbani nimeikubali hii!
Kwa kuongezea, ningeshauri Mods waweke a mini jukwaa kwenye siasa la "cheap politics'.Hapa wajimwage wale wote wenye michango hafifu ya rejareja na ushabiki-mbuzi. Mods watakuwa na kazi ya kuhamishia kila "trash" ya siasa huko.Jukwaa la siasa litabaki kwa mambo serious.Nadhani wale waliomwagwa kuchafua hali ya hewa kama kweli wapo baada ya muda watajisikia redundant maana hawatapata mwanya tena wa kuchafua michango makini. Kila kitu chao kitaishia kwenye "trash bin"
Ya Mini-jukwaa inafurahisha lkn end of the day bado watu watapatumia vibaya. Kifupi tutakuwa strict kwenye jukwaa hili, tunalifanyia kazi.
We'll be releasing the mobile app soon hopefully baada ya hapo tutapata muda wa kui-manage JF vema.
Mie nilipojiunga na JF niliamini kuwa hili lilikuwa jukwaa kwa ajili ya great thinkers ili kujadili mambo magumu yahusuyo mstakabali wa nchi yetu; sasa hawa great sinkers nao wametokea wapi?. Sasa tunaanza kupoteza maana. Utakuta hata matusi ya ajabu humu ndani nk. Tunaomba jukwaa hili lilindwe kwa manufaa ya umma. Niliwahi kusema hapa hapa kuwa great thinkers hujadili hoja na si vioja!
Inaonekana hii ni siku mbaya sana hasa kwangu mie ambaye ndo kwanza najitambulisha hapa JF. Jamani, sijatumwa mie nipo kivyangu tu hapa JF kwa hiyo noamba nipokeeni
Karibu sana ukumbini Dakta Gracemary,Inaonekana hii ni siku mbaya sana hasa kwangu mie ambaye ndo kwanza najitambulisha hapa JF. Jamani, sijatumwa mie nipo kivyangu tu hapa JF kwa hiyo noamba nipokeeni
Mkuu wangu nadhani huelewi maana ya UDINI na unatokana na vitu gani, dalili zake na kadhalika.WOS,
Nakushukuru sana kwa kuianzisha but kuna some serious note needs to be clarify in detail kwako na MOD. Kitu kinachoitwa udini kimekuwa maarufu hapa JF ila udini hauzungumzwi ni udini upi. Mfano unapowaita waislamu masheikh ubwabwa , waswahili, watu wanaopenda tabia chafu fulani (mfano watoto wa kiume) wakati sio ukweli je huo ni udini? Au wakristo wanavyoitwa wanapenda tabia chafu fulani (za kupenda watoto wa kiume), wabaguzi ,wapenda ufisadi je huo ni udini?
Ikiwa kama udini ni kudhihaki watu wa dhehebu fulani (hasa waislamu) na kuacha wakristo wajisemee wanavyojisikia wao hapo nadhani suala la udini halitaisha kabisa humu jamvini kwani hakuna mtu anayependa kukashifiwa dini yake. Ingelikuwa vizuri na vema mijadala ya kistaarabu inayotawaliwa na hoja za msingi kujadiliwa na sio kuitana majina au sifa zisizopendeza mbele ya watu.
Pia naunga mkono hoja kufutwa kwa thread za kipuuzi kwani zinapoteza mwelekeo na kutia uvivu hata wa kuzisoma. Mie nashauri MOD wawe na wasaidizi wao wanaofuatilia mada zisizo na msingi. Wasaidizi watoke katika members wenye ufahamu mzuri kwenye mada husika. Hilo litasaidia kuweka majadiliano katika mistari husika.
Kuhusu watu waliotuma na CCM kuja kuchafua hali ya hewa sioni ni kikwazo kwani watakaokuja humu watashughulikiwa na wasaidizi wa MOD. watakaopewa Ban na MOD watakuwa ni wale ambao wasaidizi wa MOD watashauri wapewe BAN. MOD watapima uzito wa ushauri wenyewe (judges) ikisha watoe ban hilo litasaidia kupunguza baadhi ya MOD kutoa Ban kwa hisia au emotional zao.
Kama unatuambia ni "sawa kabisa na halina ubishi" katika haki na uhuru wa kutumia mtandao upendavyo, sasa issue yako nini, au ni tatizo la Watanzania kutojua kujieleza?Najua kuna watakaosema wana haki na uhuru kutumia mtandao huu wapendavyo.Ni sawa kabisa halina ubishi hilo.
WOS,
Nakushukuru sana kwa kuianzisha but kuna some serious note needs to be clarify in detail kwako na MOD. Kitu kinachoitwa udini kimekuwa maarufu hapa JF ila udini hauzungumzwi ni udini upi.
Ndugu yangu Mdondoaji, kwanza nashukuru sana kukuona baada ya kipindi maana tuliwahi kushirikiana vizuri sana kwenye mjadala mmoja tete/tata hapo nyuma na nadhani tulipeleka vizuri ule mjadala na hata ulipofikia tamati "hakukuwa na majeruhi".Udini ninaoouzungumzia hapa ni ile hali ya kujaribu kupindishapinidisha maneno kwa kutumia kivuli cha dini, iwe ya kikristo au ya kiislamu kujaribu kuhusisha kila ovu lililoko TZ na dini hata kama haiingii akilini mwa mtu mwenye uelewa wa kawaida.Tanzania ni nchi iliyotulea na kutukuza tukiamini kabisa kuwa sote ni ndugu na kitu kimoja.Iweje leo tuanze kuchonganishwa kwa sababu ya dini zetu?. Wayafanyayo viongozi wetu au waumini wa dini zetu ni yao binafsi na wala hayatafsiri walivyo waumini wa dini hizo.
Tena MODS walifanyie kazi mapema kabisa. Nadhani baada ya kikao cha MODs leo tutaona mabadiliko na hata ikibidi wenye Jamvi watafute nguvu ya ziada ila wajihadhari wasiwape nafasi watu wasioitakia mema JF na kuwapa rungu la moderation maana itakuwa ni sawa na kichaa kupewa rungu!Pia naunga mkono hoja kufutwa kwa thread za kipuuzi kwani zinapoteza mwelekeo na kutia uvivu hata wa kuzisoma. Mie nashauri MOD wawe na wasaidizi wao wanaofuatilia mada zisizo na msingi. Wasaidizi watoke katika members wenye ufahamu mzuri kwenye mada husika. Hilo litasaidia kuweka majadiliano katika mistari husika.
.Kuhusu watu waliotuma na CCM kuja kuchafua hali ya hewa sioni ni kikwazo kwani watakaokuja humu watashughulikiwa na wasaidizi wa MOD. watakaopewa Ban na MOD watakuwa ni wale ambao wasaidizi wa MOD watashauri wapewe BAN. MOD watapima uzito wa ushauri wenyewe (judges) ikisha watoe ban hilo litasaidia kupunguza baadhi ya MOD kutoa Ban kwa hisia au emotional zao
Hii ndiyo JF ilivyokuwa na kama hatua za makusudi zitachukuliwa basi ubora huu utarudi na kuvutia watu makini kama mwanzo.Mie nilipojiunga na JF niliamini kuwa hili lilikuwa jukwaa kwa ajili ya great thinkers ili kujadili mambo magumu yahusuyo mstakabali wa nchi yetu;
Hujakosea hata kidogo ndugu yangu.Wengi tulivutiwa na ustadi na umakini wa uchambuzi wa maswala JF.lakini bahati mbaya sana siku za karibuni kiwango kimeshuka sana.
sasa hawa great sinkers nao wametokea wapi?. Sasa tunaanza kupoteza maana. Utakuta hata matusi ya ajabu humu ndani nk. Tunaomba jukwaa hili lilindwe kwa manufaa ya umma.!Niliwahi kusema hapa hapa kuwa great thinkers hujadili hoja na si vioja
nafikiri ni ngumu sana kusema mambo yote yasichanganywe,dini na matusi na ubinafsi,tujei nchi yetu imekaa vibaya sana kiutawala,kama viongozi wa nchi wenyewe wanaongea sana mambo ya dini hapa itakuwaje?
Rosemarie ume note sawa kabisa.Lakini sidhani binadamu tuliojaaliwa utashi tutashindwa kupambanua tuchanganye nini au tusichanganye nini. Kila kitu chaweza kuchanganywa lakini utashi wetu utatusaidia kutuongoza kwenye hili.Viongozi wetu wakiongea sana dini basi tuone ni kwa vipi nao tutawakosoa kwa lugha ya kistaha badala ya kuwavurumishia matusi. Viongozi wetu nao siyo Mungu kiasi tuwaogope kuwaambia kuwa siyo sahihi kutumia mwavuli wa dini kuweka chuki na mgawanyiko kwa wananchi wanaowaongoza.
kama ni msimu nafikiri hii itapita na hali itarudi kama ilivyokuwa,vilevile tukumbuke tumetoka kwenye uchaguzi mkuu naona watu bado wana hasira na mambo jinsi yalivyokwenda,tuvute pumzi kidogo tuone itakuwaje,lakini mimi binafsi nafaidika mno na jf.
WomanOfSubstance umena jambo la busara lakini ukiona hivyo wameruhusiwa na MODS au uwezo wa Mods ni mdogo kugundua wanaobadili mada.
Kama unatuambia ni "sawa kabisa na halina ubishi" katika haki na uhuru wa kutumia mtandao upendavyo, sasa issue yako nini, au ni tatizo la Watanzania kutojua kujieleza?
Wabongo hatutaki kuumiza vichwa kujadili vitu vingumu. Tunapenda vitu simple simple: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/51791-watanzania-tunapenda-mepesi-mepesi.html
Kama wako sahihi kuwa "wanaweza kufanya wapendavyo," sasa bifu yako nini? Kwa nini Wabongo hatujui kujieleza masikini?Niliposema "ni sawa" sikumaanisha ni sawa wafanye vile bali nilimaanisha watakuwa sahihi kujibu kuwa wanaweza kufanya wapendavyo... kwani si kila mtu anayo haki ya maoni yake?
Kama wako sahihi kuwa "wanaweza kufanya wapendavyo," sasa bifu yako nini? Kwa nini Wabongo hatujui kujieleza masikini?
Unaanza kurusha vijembe na mipasho na mada hasi ambazo nilidhani unazipinga kwenye hii thread, see what the problem is? Unaona jinsi wewe mwenyewe ulivyo sehemu ya tatizo unalotaka kutatua hapa JF?And by the way, mada zako mbili ulizoanzisha tangia ujiunge JF nimeshangaa hazikuwahi kuchangiwa hata na mtu mmoja...
when the dove cryUnaanza kurusha vijembe na mipasho na mada hasi ambazo nilidhani unazipinga kwenye hii thread, see what the problem is? Unaona jinsi wewe mwenyewe ulivyo sehemu ya tatizo unalotaka kutatua hapa JF?
Hizo thread zangu mbili za kuomba unlock keys si ajabu hakuna aliyekuwa nazo, ndio maana sikupewa, wala sina kinyongo, lakini hiyo sio mada yetu hapa.
Nilichochangia ni kwamba hoja ilivyoletwaletwa ina mushkeli, umesema mwenyewe kwamba atakaetaka kufanya apendavyo hapa "ni sawa kabisa na halina ubishi," sasa issue yako ni nini? Umeshasema ni sawa.