Naona unaongea kirahisi rahisi tu!
Huko tunaambiwa alishinda kwa asilimia 47 tu...
Inamaana nusu ya wana Kigoma ya Kaskazini hawamkubali.
Huyu ni div 5! Hata Jina lake hawezi kuandika! "Kamnda' ndio nini?
Mtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.
Huyu ni div 5! Hata Jina lake hawezi kuandika! "Kamnda' ndio nini?
CHADEMA inajulikana mijini tu, tena sio miji yote, acha kutufunga Kamba!
Mtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.
Hivi wewe MSALANI ni nani? ndo ninyi mliotumwa ku deal na posts zote za JF na mitandao mingine nini?
Siyo Bure!!, nenda Rumumba basi ukachukue ile buku 7, tumekuchoka, huna hata kazi ya kufanya wewe ni kuiponda CDM tu
fal.a wewe
CHADEMA inajulikana mijini tu, tena sio miji yote, acha kutufunga Kamba!
Nimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na
kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine
tutawanyike tukajenge chama.Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko
yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya
kuwashughulikia,acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili
uundaji wa misingi.Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.
Mkuu kiwatengu mpe za uso huyu fal.a. Vipi huko mtwara Mkuu bado CCM wanabaka?fal.a wewe
Wewe ni mmoja kati ya wanasiasa wachache sana nchini mwenye heshima na mchango mkubwa kwa CHADEMA na Tanzania. Ki ukweli nimetokea kukuheshimu na kukuthamini Bw. Alphonce.Nimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na
kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine
tutawanyike tukajenge chama.Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko
yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya
kuwashughulikia,acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili
uundaji wa misingi.Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.
Zitto anajulikana Facebook
Mtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.