Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 300
Mgogoro uliopo utaisha tu ikiwa alieutengeneza atabadili dhamira yake!
Aliyeutengeneza ni CCM, je watabadili dhamira ?
Mgogoro uliopo utaisha tu ikiwa alieutengeneza atabadili dhamira yake!
Sasa maelezo ya kuwa nje ya Tanzania yananisaidia nini mimi,, we unajua mm niko wapi?... Hakuna mgogoro kwa hao uliowataja... Zitto, Samson na Kitila wamechukuliwa hatua na CHAMA... Wamevuliwa vyeo/uanachama kwenye vikao halali.... Sasa ugomvi uko wapi....? TYaani chama kinavyofanya maamuzi yake unasema kuna ugomvi... Basi kukaa kwako nje hakujakusaidia
Inawezakana nje yako Shelisheli/ au visiwa vya Comoro....
dawa ya wasaliti kam zitto ni kuwasigina tuu ni nyoka hawa.
Kifyatu kamwambie aliyekutuma kachelewa,hiki ni chama sio pango la wahuni na wasaliti
Mtoa mada wew ndio hao plan yako ni kukizamisha chama mimi ckubaliani na hoja yko njoo na new plan wew ni ccm.
Ni mgogoro kufukuza wasaliti?!
Hili sikubaliani nalo, kabla ya majadiliano yoyote Slaa na Mbowe waachie ngazi kwanza then reconciliation meeting
umekosa lakufanya? ccm yako huioni? unaweza sema nawewe unaakili timamu kwa huu upuzi wako ulioandika? kaishauli ccm ifanye hayo ili iendelee kutawala.
Hawa kila cku mnaokuja na sera za suruhu mbona huw hamgusi makosa halis ya zzk?
mnaongelea ju juu tu ooh cdm co mbowe,zzk wala slaa, ndo mana weng wanawaona ni wa lumumba wenye muono huo coz hamtak kuzama deep na kuanika usumbuf wa zzk tangu 2007 mpk leo.
zzk na nyendo za mashaka ktambo xn hata ambao hatupo ktk siasa tunayaona hayo.
hajishughulish na wenzake ama ndo kwmb yey jesh la mtu mmoja? hii n dhambi pia ktk chama,
bt pia amekuw haish chokochoko hasa akitumia social networks wakt yey ni kiongoz wa juu kabsa ktk chama.
na wala hajal chama knakufa ama hakifi, anajiita msomi kijana na hanunuliki lakn matendo yake hayaakis hata kdogo sifa anazojpambanua nazo!
ufike wakt 2mwambie ukwel kwamba anawavuruga wapenda mabadiliko.
ni kpnd cha kujiandaa na chaguz mbalmbal bt yy ni kil cku fb kuwananga wenzie.
bnafs namuona ni zaidi ya msaliti,na dawa pekee ni kumuondoa kwny safina,kama kukanywa kakanywa sana wala hajawah kukoma.
yey ni msomi,ana misimamo,ni kijana bas aunde chama chake ama ahamie kwingne anakoitwa!
Hawana jipya wamebaki kutapatani kweli kabisa Naghenjwa, hawa watu wanajifanya wema kweli kumbe hakuna kitu. unafiki mtupu.
Remind me again WHO IS TALKING?Jamaa katumia pesa yao nyingi kashindwa kuiua cdm. wanamtafutia sehemu ya kutokea.
zitto akirudi chadema najitoa cozi amejidhihirisha ni mchumia tumbo
hujaeleweka, kwa huyo wasaliti wawe wanaavhwa tu au,
Usuluhishi wa nini! na ni kwanini wajinga wanahusisha viongozi na Zito! kwani kamati kuu ni Mbowe na Dr Slaa! Ni ujinga kutaka suluhu ktk hili mbona liko wazi! Hivi nani atakubali ccm iwaapangie cha kufanya CDM!
Mambo yatakuwa mazuri saana Tunamatumaini makubwa ya kushinda. Maneno haya watu wa Uzaramuni hawapendi kuyasikia lakini ndo ukweli watanzania wengi sasa wanajitambua,2015 - Tafakari.
umekosa lakufanya? ccm yako huioni? unaweza sema nawewe unaakili timamu kwa huu upuzi wako ulioandika? kaishauli ccm ifanye hayo ili iendelee kutawala.