RAI: Mustakabal wa CHADEMA - CHADEMA and the way forward

RAI: Mustakabal wa CHADEMA - CHADEMA and the way forward

Naghenjwa. Nyie vibaraka wa wasaliti hamwezi kubadili msimamo wa chama, mbona kwa hamad rashidi na kafulila hamkujitokeza wanafiki wakubwa nyie

Naghenjwa, urewedi?

Mimi sio kibaraka wala msaliti. I thought I was rooting for CDM - go figure.
 
Hii ni RAI kwa chama cha CDM kwa sababu inaniuma kuona LULU inasagwa na kuwa vumbi.

Mimi sio nguli wa siasa lakini ninajua madudu ya kisiasa ninapoyaona.

Viongozi wote wa siasa lazima wawe wavumilivu (THICK SKIN_ED).
Tuko sisi mburura (nimelipenda hili neno ingawaje sijui maana yake vizuri - bali najua sio la kujivunia) ambao tutawatusi, kuwakejeli, kuwadhalilisha, na kuwadharau kiasi kwamba hata mbwa wako huwezi kumfanyia hivyo. Nyie mnapaswa kutuvumilia (roll with the punches) na kutujibu kwa mantiki (respond objectively).

Kwa nini?
Kwa sababu tunaotupia madongo viongozi pengine ni asilimia moja (1%) ya wananchi. Sasa utawatosa waTanzania wote (99%) kwa ajili ya sisi mburula wachache. Tumesema mengi: Mbowe this - Slaa that- Zitto -who?, Kitila - what? and so on...


RAI
Hii ni rai yangu.

CHADEMA-sasa hivi hamdemi (hamjikongoji) tena - (you are a force to be reconciled with. ACT IT!!)

Itisheni Mkutano wa Usuluhishi (Party Reconciliation Meeting)

Katika kipindi kifupi sana (kutegemea na katiba yenu) itisheni mkutano mkuu na kuuita MKUTANO wa kusuluhisha chama na wanachama wake.

Hapa wanachama wote (wa sasa na waliofukuzwa) wakaribishwe. Huu sio mkutano wa kutajana nani mkosefu au msaliti (naomba msilitumie hili neno msaliti tena - it has a religious connotation - or maybe it is just me) bali ni mkutano wa upatanishwaji. Katika mkutano huu, yafuatayo yafanyike:


  • Wanachama hai wahamasishwe
  • Waliofukuzwa ambao bado wanakipenda chama warudishwe kwenye ngazi stahiki (maybe just plain member) bila ya masharti.
  • Wanachama walio na mgogoro na chama ambao watataka wabaki (kundini) waruhusiwe - unconditionally.
  • Futeni kesi zote zilizopo mahakamani hivi sasa.
  • Chama kitoke na kauli moja kuwa mpo pamoja kupigania UMMA.

Kumbukeni: Hakuna CDM, CCM, TLP, NCCR-Mageuzi, etc.
Kuna:Tanzania tu.

What nonsense,mbowe aachie kwanza ngazi ndo hayo yafuate anaharibu chama.
 
Usuluhishi wa nini! na ni kwanini wajinga wanahusisha viongozi na Zito! kwani kamati kuu ni Mbowe na Dr Slaa! Ni ujinga kutaka suluhu ktk hili mbona liko wazi! Hivi nani atakubali ccm iwaapangie cha kufanya CDM!
 
ukickia kupagawa CDM ndio huku kinacho itafuna CDM ni siasa za ubinafsi anza histori ya chadema na siasa za ubinafsi toka Kwa marehemu bob Makani NJoo kwa Dr.Walid kaburu sasa kwa ZZ Kabwe.sasa hawa vifaranga na vipofu wanao kimbilia usaliti usaliti kila wanapo onyeshwa ubovu wa CDM hawajui lolote hao ni thumun bukmun umyuun la yaakilun.cc wakongwe wa politics tuliyaona haya zamani nakama CDM hawata acha selfishpolitics tutazidi kushuhudia viroja na akina YUDA WA YESU HUMU KIBAO.
 
Eehe, hapa kuna kazi.

Mimi ni mTanzania lakini siko Tanzania na wala sio mwana chama wa chama chochote kile. Nimekipenda CHADEMA kama chama mbadala wakati Tanzania ilipoanza siasa za vyama vingi (plural politics) mpaka hivi sasa. Kama unafikiri kuwa mimi pia ni msaliti wa CHADEMA - GOD Bless.

YES - CHADEMA kuna ugomvi: Zitto, Kitila, Samson, Yona, Mbowe, Slaa, Lissu, Mahakama, ... please stop me any time!

Kamati kuu ina uwezo wa kufikia maamuzi muafaka na ndio maana nimetoa rai yangu. Sitaki kuingia kwenye malumbano na wewe yenye mzunguuko. Nadhani nimejieleza vizuri mkuu.

Sasa maelezo ya kuwa nje ya Tanzania yananisaidia nini mimi,, we unajua mm niko wapi?... Hakuna mgogoro kwa hao uliowataja... Zitto, Samson na Kitila wamechukuliwa hatua na CHAMA... Wamevuliwa vyeo/uanachama kwenye vikao halali.... Sasa ugomvi uko wapi....? TYaani chama kinavyofanya maamuzi yake unasema kuna ugomvi... Basi kukaa kwako nje hakujakusaidia


Inawezakana nje yako Shelisheli/ au visiwa vya Comoro....
 
ukickia kupagawa CDM ndio huku kinacho itafuna CDM ni siasa za ubinafsi anza histori ya chadema na siasa za ubinafsi toka Kwa marehemu bob Makani NJoo kwa Dr.Walid kaburu sasa kwa ZZ Kabwe.sasa hawa vifaranga na vipofu wanao kimbilia usaliti usaliti kila wanapo onyeshwa ubovu wa CDM hawajui lolote hao ni thumun bukmun umyuun la yaakilun.cc wakongwe wa politics tuliyaona haya zamani nakama CDM hawata acha selfishpolitics tutazidi kushuhudia viroja na akina YUDA WA YESU HUMU KIBAO.

dawa ya wasaliti kam zitto ni kuwasigina tuu ni nyoka hawa.
 
Hii ni RAI kwa chama cha CDM kwa sababu inaniuma kuona LULU inasagwa na kuwa vumbi.

Mimi sio nguli wa siasa lakini ninajua madudu ya kisiasa ninapoyaona.

Viongozi wote wa siasa lazima wawe wavumilivu (THICK SKIN_ED).
Tuko sisi mburura (nimelipenda hili neno ingawaje sijui maana yake vizuri - bali najua sio la kujivunia) ambao tutawatusi, kuwakejeli, kuwadhalilisha, na kuwadharau kiasi kwamba hata mbwa wako huwezi kumfanyia hivyo. Nyie mnapaswa kutuvumilia (roll with the punches) na kutujibu kwa mantiki (respond objectively).

Kwa nini?
Kwa sababu tunaotupia madongo viongozi pengine ni asilimia moja (1%) ya wananchi. Sasa utawatosa waTanzania wote (99%) kwa ajili ya sisi mburula wachache. Tumesema mengi: Mbowe this - Slaa that- Zitto -who?, Kitila - what? and so on...


RAI
Hii ni rai yangu.

CHADEMA-sasa hivi hamdemi (hamjikongoji) tena - (you are a force to be reconciled with. ACT IT!!)

Itisheni Mkutano wa Usuluhishi (Party Reconciliation Meeting)

Katika kipindi kifupi sana (kutegemea na katiba yenu) itisheni mkutano mkuu na kuuita MKUTANO wa kusuluhisha chama na wanachama wake.

Hapa wanachama wote (wa sasa na waliofukuzwa) wakaribishwe. Huu sio mkutano wa kutajana nani mkosefu au msaliti (naomba msilitumie hili neno msaliti tena - it has a religious connotation - or maybe it is just me) bali ni mkutano wa upatanishwaji. Katika mkutano huu, yafuatayo yafanyike:


  • Wanachama hai wahamasishwe
  • Waliofukuzwa ambao bado wanakipenda chama warudishwe kwenye ngazi stahiki (maybe just plain member) bila ya masharti.
  • Wanachama walio na mgogoro na chama ambao watataka wabaki (kundini) waruhusiwe - unconditionally.
  • Futeni kesi zote zilizopo mahakamani hivi sasa.
  • Chama kitoke na kauli moja kuwa mpo pamoja kupigania UMMA.

Kumbukeni: Hakuna CDM, CCM, TLP, NCCR-Mageuzi, etc.
Kuna:Tanzania tu.

Kifyatu kamwambie aliyekutuma kachelewa,hiki ni chama sio pango la wahuni na wasaliti
 
Hii ni RAI kwa chama cha CDM kwa sababu inaniuma kuona LULU inasagwa na kuwa vumbi.

Mimi sio nguli wa siasa lakini ninajua madudu ya kisiasa ninapoyaona.

Viongozi wote wa siasa lazima wawe wavumilivu (THICK SKIN_ED).
Tuko sisi mburura (nimelipenda hili neno ingawaje sijui maana yake vizuri - bali najua sio la kujivunia) ambao tutawatusi, kuwakejeli, kuwadhalilisha, na kuwadharau kiasi kwamba hata mbwa wako huwezi kumfanyia hivyo. Nyie mnapaswa kutuvumilia (roll with the punches) na kutujibu kwa mantiki (respond objectively).

Kwa nini?
Kwa sababu tunaotupia madongo viongozi pengine ni asilimia moja (1%) ya wananchi. Sasa utawatosa waTanzania wote (99%) kwa ajili ya sisi mburula wachache. Tumesema mengi: Mbowe this - Slaa that- Zitto -who?, Kitila - what? and so on...


RAI
Hii ni rai yangu.

CHADEMA-sasa hivi hamdemi (hamjikongoji) tena - (you are a force to be reconciled with. ACT IT!!)

Itisheni Mkutano wa Usuluhishi (Party Reconciliation Meeting)

Katika kipindi kifupi sana (kutegemea na katiba yenu) itisheni mkutano mkuu na kuuita MKUTANO wa kusuluhisha chama na wanachama wake.

Hapa wanachama wote (wa sasa na waliofukuzwa) wakaribishwe. Huu sio mkutano wa kutajana nani mkosefu au msaliti (naomba msilitumie hili neno msaliti tena - it has a religious connotation - or maybe it is just me) bali ni mkutano wa upatanishwaji. Katika mkutano huu, yafuatayo yafanyike:


  • Wanachama hai wahamasishwe
  • Waliofukuzwa ambao bado wanakipenda chama warudishwe kwenye ngazi stahiki (maybe just plain member) bila ya masharti.
  • Wanachama walio na mgogoro na chama ambao watataka wabaki (kundini) waruhusiwe - unconditionally.
  • Futeni kesi zote zilizopo mahakamani hivi sasa.
  • Chama kitoke na kauli moja kuwa mpo pamoja kupigania UMMA.

Kumbukeni: Hakuna CDM, CCM, TLP, NCCR-Mageuzi, etc.
Kuna:Tanzania tu.
Reconciliation na magaidi, .....MAWEEE!!
 
ukickia kupagawa CDM ndio huku kinacho itafuna CDM ni siasa za ubinafsi anza histori ya chadema na siasa za ubinafsi toka Kwa marehemu bob Makani NJoo kwa Dr.Walid kaburu sasa kwa ZZ Kabwe.sasa hawa vifaranga na vipofu wanao kimbilia usaliti usaliti kila wanapo onyeshwa ubovu wa CDM hawajui lolote hao ni thumun bukmun umyuun la yaakilun.cc wakongwe wa politics tuliyaona haya zamani nakama CDM hawata acha selfishpolitics tutazidi kushuhudia viroja na akina YUDA WA YESU HUMU KIBAO.

Mfuasi wa Zitto!... Msaliti wewe!!
 
chadema ni kikundi kidogo cha wapiga dili kinachojificha kwenye mwamvuli wa chama cha siasa.dr slaa hana shida ya urais, shida yake ni ruzuku tu. ndio maana ruzuku haifiki mikoani inaishia makao makuu tu
kama ambavyo unavyoitesa familia kwa kupigia urabu fedha za kuhudumia familia.
 
Mtoa mada wew ndio hao plan yako ni kukizamisha chama mimi ckubaliani na hoja yko njoo na new plan wew ni ccm.
 
mkuu Kifyatu wazo lako naamini linatoka moyoni ila naskitika kwamba utaishia tu kuumia roho yako.unachopigania, tulishapigania sana na tulichogundua n kwamba mgogoro uliopo ni wa kupangwa na unaratibiwa.
Ni mgogoro kufukuza wasaliti?!
 
Uwezo wako wa ufahamu wa siasa za tanzania naamini ni mdogo.


Yawezekana kweli ukawa mwana chadema,ila fikiria mfano; una mke halafu unahisi anakusaliti lakini katika hali isiyo ya kawaida jamaa unaye muhisi kilasiku likitokea dogo tu la kifamily, yeye ndiye wa kwanza kufika na kumtetea.


Je huwezi kugeneralize nakutoa hukumu ya moka kwa moja?

Ni maajabu eti c.c.m ndio watetezi wa chadema isianguke! Maajabu.


"hawa vijana uliowataja ni wakaidi,nawakaidi hawa faidi hadi siku ya iddi"
 
Back
Top Bottom