I think umenielewa.. Thanks.Uongea kiswahili tu utaeleweka tena vizuri tu
I think umenielewa.. Thanks.Uongea kiswahili tu utaeleweka tena vizuri tu
Wanajamvi mupooooooooo!
Najisikia kuwashirikisha jambo but sorry kwa wenye mapepo ya kukwazika wapite mbaliiii.
Raha ya tendo la ndoa ufanye na.....
1. unayempenda,
2.tena u nae mfeel,
3.Aliyesumbuka kukupata.
4.Anayejua shughuli husika,
5.Anayejali hisia zako,
6.Anaekuthamini,
7.Asie mbinafsi,
8. msafi
.....
Waweza ongeza nawewe..
Kuna uhakika wa 98% ya huyu mtoa mada kuwa ni mwanaume.
Ni design ya kina gilesi,aminatha mrembo na wenzake
Ahahahaa9. asiwe na shahawa za moto zinazounguza
inaonekana hii ndoa uliitafuta kwa muda mrefu sana maana kila kukicha ndoa yako tu why?Wow thank you
Ni yangu ndiyo maana
Wow thank you
Trust me chuo hujafika weweNimeanza tangu nilipokuwa mwaka wa pili chuoni
na mpaka mwaka huu ulikua na masters, alafu mwaka huu huu ukasema wewe ni bikra! BTW hongera sana kwa kumpata umpendayeNimeanza tangu nilipokuwa mwaka wa pili chuoni