JembePoli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,324
- 999
Nimeanza tangu nilipokuwa mwaka wa pili chuoni
Bado huwezi kuitwa mkongwe nitarudi kujazia haya~
Ukipigwa na umpendae sema asante.
Ukisikia mumeo anatoka na HG usikasilike mwambie kwa Upendo ni style gani amejifunza huko.
Akilala nje kesho akirudi kwako muulize njozi gani aliota.
Lakini haya yote nitajazia pindi pale tu utakapokuwa mkongwe.
Ahsante
