hongera zako mkuu, wish you all the best, may the almight come before you!!
One in a million chance.
Dont leave her and wed her fast. Dont start to pester her or otherwise you will loose her.
GOOD LUCK CHUMMY !!!!!!!!!!!!!
Mbona mbali ? linaliwezekana leo lisingoje kesho atakuja mwenzio achukue uanze kusema huna bahati....
Kupata msichana mwenye akili za kimaisha,kimaendeleo na anaeweza kukukosoa unapokwenda wrong ni raha sana.
i love my beibe!!..
Kupata msichana mwenye akili za kimaisha,kimaendeleo na anaeweza kukukosoa unapokwenda wrong ni raha sana.
i love my beibe!!..
Mshukuru Mungu sana kwa hilo mkuu
Maana ni wachache sana wanapata nafasi hiyo ya kuwapata wale ambao wanaweza kuitwa wake katika maisha yao na wenye kuwaelewa au kufikia hapo ulipo
mhhhh wanageuka hao kaka, mwenzio yashanikuta.
Ndugu hongera sana na kila la heri, wanaohisi utasalitiwa wanatumia experiience zao maana wanasema "Every branch of an idea has got its own origin basing of true experience"
INAUMA SANA.
Siku yule uliyemtegemea na kumuamini 100% anapogeuka na
kukusaliti na kufanya mambo mazito yenye kuchukiza ambayo
hukuyatarajia.
Kila la kheri.
Kupata msichana mwenye akili za kimaisha,kimaendeleo na anaeweza kukukosoa unapokwenda wrong ni raha sana.
i love my beibe!!..
Be careful!
Hongera zake, maana mianaume mingine haipendi kushauriwa wala kukosolewa.
Kupata msichana mwenye akili za kimaisha,kimaendeleo na anaeweza kukukosoa unapokwenda wrong ni raha sana.
i love my beibe!!..
utapeli mtupu ....
should we know that
Sasa na wewe mbona unafurahia matatizo ya wengine ? :disapointed:Hujawahi kusifia mambo kama haya kwa wenzio, hope you went through a great hardship in the past
mhhhh wanageuka hao kaka, mwenzio yashanikuta.