Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,898
- 828,498
Simulizi ya mkesha wa Christmas 1986
Vijana watatu waliokuwa wanatoka kwenye mkesha walikutana na binti aliyekuwa anakimbia huku akiomba msaada
Wakamsimamisha na kumhoji lakini mioyoni mwao wakiwa na nia ovu huku mioyoni mwao wakiwa tayari wameshawaka tamaa
Binti alikimbia m'bakaji mmoja akakutana nao watatu.. Hakuweza kujitetea zaidi ya kukubali yaishe na kurudi kwao akiwa anachechemea huku wabakaji wake wakiishia gizani
Pambazuko la mawio ya Dec 25 1986 liliwakuta vijana wale kwenye hamaniko kubwa la kukimbia mji baada ya msako wa sungusungu na mgambo wa kijiji kuanza kazi
Mbaya zaidi kumbe wabakaji wawili kati ya wale watatu walikuwa ndugu ya mbakwaji.. Kitendo kilifanyika gizani
Raha ya ubakaji ni pale tu unapotimiza kile kitendo by force by power! Akili zote hukuruka na hukumbuki madhara ya baadae
Ukishamaliza kumwaga oil chafu ndio akili hukurudi na kubaki na majuto mengi.. Ni wabakaji wachache sana ambao hawana majuto!
Ubakaji na ukabaji vinatenganishwa na uzi mwembamba sana wa lengo la kitendo.. Na mara nyingi sana wabakaji ni wakabaji
Na hapa isichukuliwe ya kura wabakaji ni jinsia moja tuu.. Hata jinsia pinzani nao hubaka japo ni aghalabu kuwakuta wakikaba!
Majuto ya ubakaji huja baada ya kitendo na hapa ndio pabaya zaidi hasa pale mbakaji atakapotaka kupoteza ushahidi.. Yaani anaweza hata kuua ili kupoteza ushahidi lakini kadiri anavyoua ndio anavyozidi kutengeneza ushahidi na kujiweka wazi huku akijifunua uhalisia wake
Baadhi ya "serial killers" wamejikuta wakiteketeza roho nyingi na kumwaga damu isiyo na hatia kwasababu tu ya kutaka kupoteza ushahidi
Ubakaji japo unachukuliwa kaka kitendo cha kulazimisha ngono! Lakini ubakaji ni zaidi ya hapo na ni dhana pana zaidi..
Je unajua hata demokrasia na uhuru wa mtu vinaweza kubakwa!? Na madhara yake ni kumwaga damu nyingi isiyo na hatia
Vijana watatu waliokuwa wanatoka kwenye mkesha walikutana na binti aliyekuwa anakimbia huku akiomba msaada
Wakamsimamisha na kumhoji lakini mioyoni mwao wakiwa na nia ovu huku mioyoni mwao wakiwa tayari wameshawaka tamaa
Binti alikimbia m'bakaji mmoja akakutana nao watatu.. Hakuweza kujitetea zaidi ya kukubali yaishe na kurudi kwao akiwa anachechemea huku wabakaji wake wakiishia gizani
Pambazuko la mawio ya Dec 25 1986 liliwakuta vijana wale kwenye hamaniko kubwa la kukimbia mji baada ya msako wa sungusungu na mgambo wa kijiji kuanza kazi
Mbaya zaidi kumbe wabakaji wawili kati ya wale watatu walikuwa ndugu ya mbakwaji.. Kitendo kilifanyika gizani
Raha ya ubakaji ni pale tu unapotimiza kile kitendo by force by power! Akili zote hukuruka na hukumbuki madhara ya baadae
Ukishamaliza kumwaga oil chafu ndio akili hukurudi na kubaki na majuto mengi.. Ni wabakaji wachache sana ambao hawana majuto!
Ubakaji na ukabaji vinatenganishwa na uzi mwembamba sana wa lengo la kitendo.. Na mara nyingi sana wabakaji ni wakabaji
Na hapa isichukuliwe ya kura wabakaji ni jinsia moja tuu.. Hata jinsia pinzani nao hubaka japo ni aghalabu kuwakuta wakikaba!
Majuto ya ubakaji huja baada ya kitendo na hapa ndio pabaya zaidi hasa pale mbakaji atakapotaka kupoteza ushahidi.. Yaani anaweza hata kuua ili kupoteza ushahidi lakini kadiri anavyoua ndio anavyozidi kutengeneza ushahidi na kujiweka wazi huku akijifunua uhalisia wake
Baadhi ya "serial killers" wamejikuta wakiteketeza roho nyingi na kumwaga damu isiyo na hatia kwasababu tu ya kutaka kupoteza ushahidi
Ubakaji japo unachukuliwa kaka kitendo cha kulazimisha ngono! Lakini ubakaji ni zaidi ya hapo na ni dhana pana zaidi..
Je unajua hata demokrasia na uhuru wa mtu vinaweza kubakwa!? Na madhara yake ni kumwaga damu nyingi isiyo na hatia