CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Kuna tetesi zimeshaanza kuenea hapa town kwamba SIMBA kitu kinagonga sasa wanampango wa kuiondoa timu kwenye michuano ya KAGAME CUP,pendekezo hilo limetolewa na mwt wa simba Aden Rage jana kwenye kikao cha dharula.Habari zimeendelea kuvuja kwamba baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji wamegawanyika juu ya hili na kusema kwamba mwt wao anaiogopa yanga kutokana na usajiri walioufanya msimu huu kwa kuwabomolea ngome yao ya YONDANI NA MUSTAFA BARTHEZ.
Bado nafatilia ntawajulisha nn kinaendelea.
Bado nafatilia ntawajulisha nn kinaendelea.