Rage na mchango wa udini bungeni

ikitaka. LOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOo
hebu soma hii
“Hivi kweli ni kuchinja au kuna mkono wa siasa?”
Alihoji mwandishi namtuma ujumbe huo. Hoja ya msomaji huyu ni kuwa kama ingekuwa kuna mgogoro kwa upande wa Wakristo kula nyama iliyochinjwa na Muislamu b i l a s h a k a K a d i n a l i Rugambwa asingeruhusu M u i s l a m u k u c h i n j a ng’ombe wa kuliwa katika sherehe yake. Kwa usomi wake wa Biblia na Ukristo kwa ujumla uliopelekea k u p e w a U a s k o f u n a Ukadinali, hatudhani kuwa hakuwa anajua mwongozo wa Kikristo katika kuchinja na kula nyama. Kwa hiyo, ni wazi kuwa kama ni mgogoro, hili ni suala la kutengenezwa na serikali na kanisa katoliki ndiyo inaweza kulimaliza mgogoro huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…