47pro
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 1,204
- 333
Hivi kwa mfano, cuf ndo ikashinda uchaguzi huu wa marudio, je malim Seif atatangazwa mshindi japo bado anasisitiza kususia? Maana jecha yeye kasema, wagombea wote ni halali kisheria, kujiondoa kwao haukufuata itifaki za ZEC. Je wananchi wakaamu kupiga kura za hasira kuchahugua cuf, vipi mshindi wa cuf atatangazwa angali amesusia?
MWENYE uelewa pls backup kidogo.
#HAPAKAZITU
MWENYE uelewa pls backup kidogo.
#HAPAKAZITU