Rafiki yangu kaniponza

Rafiki yangu kaniponza

Rafik yangu kaniita tuenjoy pamoja. Nikamkuta bar yupo na madem wawili mara akanikabidh mmoja (sikuwa namjua huyo demu) kisha akaondoka bila kulipia akanambia MALIZA kila kitu.

Mi nkajua maliza kila kitu niende kugonga papuch!! kumbe ilikua kulipia garama. Mara bili ikaja jumla ya bil yangu 11000/= bil ya rafik yangu 32000/= jumla inakua 43000/= wakat huo mi nimefulia kweli kweli yaani nilikua nina 17000/= tu nkaona hapa ntaumbuka tu ikabidi nimwambie demu nakuja naenda choonu, nikatoroka nikasepa nkamuacha dem anaendelea kunywa.

Hata sijui ilikuaje nyuma huko!!. KAMA NI WEWE UNGEFANYAJE???

Kilichofuata > yule dem aliweka cm yake pon pa1 na via2 vyake. Kumbe yule dem alikua anajua anapokaa yule rafiki yangu. Akaenda kuripot polisi akafungua kesi kwamba jamaa kamgegeda na hakumlipa kisha akamwibia na hela zake 60,000/= na kumkimbia bar, kwa hiyo anadai amedhalilishwa na kunyang'anywa cm na via2 na wahudum. >Leo asubuh jamaa alikamatwa na yuko nje kwa dhamana.
 
Kilichofuata > yule dem aliweka cm yake pon pa1 na via2 vyake. Kumbe yule dem alikua anajua anapokaa yule rafiki yangu. Akaenda kuripot polisi akafungua kesi kwamba jamaa kamgegeda na hakumlipa kisha akamwibia na hela zake 60,000/= na kumkimbia bar, kwa hiyo anadai amedhalilishwa na kunyang'anywa cm na via2 na wahudum. >Leo asubuh jamaa alikamatwa na yuko nje kwa dhamana.

Nampa big up huyo dada!Safi sana,starehe gharama!
 
mkuu umenichekesha balaaa ,stress zimepungua!

Nipe like basi ila pole na mastress bwana tupa kuleeeeee ni ugonjwa hatari kushinda ukimwi coz Unadestroy system ya mwili zote yaani.
 
ifike mahali sasa kila mtu ajigaramie kwa bili yake tukiwa bar
huu mtindo wa kulipiana bill unajikuta unauwa familia na njaa
tuache huo mtindo.
 
Kilichofuata > yule dem aliweka cm yake pon pa1 na via2 vyake. Kumbe yule dem alikua anajua anapokaa yule rafiki yangu. Akaenda kuripot polisi akafungua kesi kwamba jamaa kamgegeda na hakumlipa kisha akamwibia na hela zake 60,000/= na kumkimbia bar, kwa hiyo anadai amedhalilishwa na kunyang'anywa cm na via2 na wahudum. >Leo asubuh jamaa alikamatwa na yuko nje kwa dhamana.

hivi Ukahaba Bongo ni legal?me sijaelewa apo. Kesi imeitwaje .wanasheria msaada tutani. Hivi ukimtumia changu bila malipo unashtakiwa kisheria ama inakuweje
 
nimecheka sana..

ila rafiki yako sio mstaarabu maana alipaswa kukuuliza kwanza kama waweza kuwa na hela ya kutosha
 
ulivyo fanya sivyo yule dada km hana kitu kabisa unafikiri ulivyomawcha ni sahihi??? sijapendezwa kabisa

kwa hiyo ulitaka jamaa ndiyo apate majanga? Jamaa mwenyewe ni mjanja maana ametumia 11 na alikuwa na 17 kwa hiyo alikuwa na ziada 6 ambayo ni ya tax hadi home
 
Kilichofuata > yule dem aliweka cm yake pon pa1 na via2 vyake. Kumbe yule dem alikua anajua anapokaa yule rafiki yangu. Akaenda kuripot polisi akafungua kesi kwamba jamaa kamgegeda na hakumlipa kisha akamwibia na hela zake 60,000/= na kumkimbia bar, kwa hiyo anadai amedhalilishwa na kunyang'anywa cm na via2 na wahudum. >Leo asubuh jamaa alikamatwa na yuko nje kwa dhamana.

na nyie punguzeni kuokotaokota
 
Hahah yamekukuta..bt wat u did kwa muda huo was th only thng to do..hahahah cdhani kma utarudia tena
 
teheeee
huyo demu lazima aliuza utu ku clear bili..hahahaaaaa
 
Back
Top Bottom