Rafiki yangu kaniponza

Rafiki yangu kaniponza

faraday

Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
38
Reaction score
10
Rafik yangu kaniita tuenjoy pamoja. Nikamkuta bar yupo na madem wawili mara akanikabidh mmoja (sikuwa namjua huyo demu) kisha akaondoka bila kulipia akanambia MALIZA kila kitu.

Mi nkajua maliza kila kitu niende kugonga papuch!! kumbe ilikua kulipia garama. Mara bili ikaja jumla ya bil yangu 11000/= bil ya rafik yangu 32000/= jumla inakua 43000/= wakat huo mi nimefulia kweli kweli yaani nilikua nina 17000/= tu nkaona hapa ntaumbuka tu ikabidi nimwambie demu nakuja naenda choonu, nikatoroka nikasepa nkamuacha dem anaendelea kunywa.

Hata sijui ilikuaje nyuma huko!!. KAMA NI WEWE UNGEFANYAJE???
 
Mmmmmm urafi wa bia mbaya sana ungevutwa kende mpaka ulipe hela za watu.
 
Ningefanya hivyo hivyo bali ningehata weka pesa ya nilichokula chini ya chupa kabla ya kwenda chooni.

Ila rafiki yako amefanya vile yeye kukupa binti ndio malipo ufanye wewe. Sio rafiki mzuri kaa mbali nae. Akikupigia simu usipokee mpotezeee atakufanyia makubwa hata jela utaingia siku ingine.
 
tuletee taarifa zaidi. yule dada alitokaje. kindly inquire from your friend.
 
ha ha ha ha ahaaaaa!!dah safi sn, kijana una akili sn!
 
Rafik yangu kaniita tuenjoy pamoja. Nikamkuta bar yupo na madem wawili mara akanikabidh mmoja (sikuwa namjua huyo demu) kisha akaondoka bila kulipia akanambia MALIZA kila kitu.

Mi nkajua maliza kila kitu niende kugonga papuch!! kumbe ilikua kulipia garama. Mara bili ikaja jumla ya bil yangu 11000/= bil ya rafik yangu 32000/= jumla inakua 43000/= wakat huo mi nimefulia kweli kweli yaani nilikua nina 17000/= tu nkaona hapa ntaumbuka tu ikabidi nimwambie demu nakuja naenda choonu, nikatoroka nikasepa nkamuacha dem anaendelea kunywa.

Hata sijui ilikuaje nyuma huko!!. KAMA NI WEWE UNGEFANYAJE???

Huu urafiki wenu wa kuitana baa ndo matokeo yake we hapo si ulikuwa unataka kungo'a mzigo na zilikuwa fikra zako zilikuwa hivyo, unge mwita yule dada mhudumu ukampa hiyo 17000 na simu yako.
 
aah kiukweli ulivyofanya ilikuwa mwake! mambo gani hayo ya kuachiana msala namna hiyo?
 
Rafik yangu kaniita tuenjoy pamoja. Nikamkuta bar yupo na madem wawili mara akanikabidh mmoja (sikuwa namjua huyo demu) kisha akaondoka bila kulipia akanambia MALIZA kila kitu.

Mi nkajua maliza kila kitu niende kugonga papuch!! kumbe ilikua kulipia garama. Mara bili ikaja jumla ya bil yangu 11000/= bil ya rafik yangu 32000/= jumla inakua 43000/= wakat huo mi nimefulia kweli kweli yaani nilikua nina 17000/= tu nkaona hapa ntaumbuka tu ikabidi nimwambie demu nakuja naenda choonu, nikatoroka nikasepa nkamuacha dem anaendelea kunywa.

Hata sijui ilikuaje nyuma huko!!. KAMA NI WEWE UNGEFANYAJE???

haipendezi mtoto wa kiume kupenda vitu vya bure kwa fikra zako ulienda hapo ukitegemea utakunywa bia za bure za rafiki yako na demu ukammege angalia sana kaka siku nyingie uta fi rwa!!!
 
ulivyo fanya sivyo yule dada km hana kitu kabisa unafikiri ulivyomawcha ni sahihi??? sijapendezwa kabisa
 
Back
Top Bottom