Rafiki yangu anatembea na mke wa mtu

mzuluu

Member
Sep 15, 2014
68
30
Habari wana jamvi. Nimekuja hapa kuomba ushauri kwenu ili niweze kumsaidia rafiki yangu ambae amezama kwenye penzi la mke wa mtu. Nimejaribu sana kumshauri mpaka imefikia kipindi sasa hivi hatuongei kabisa kwa sababu ya jambo hilo.

Mume wa huyo dada alishawahi kumtafuta rafiki yangu kwa kumpigia simu akimtaka aachane na mke wake lakini rafiki yangu amekuwa mjeuri hasikii. Ndoa yao imekuwa haina amani kabisa ni ugomvi kila kukicha mpaka jamaa amekuwa mlevi kupindukia kwasababu mkewe hatulii.

Sasa nimepanga nimfungie mume wa yule dada nimwambie ukweli nimuelekeze jamaa mpaka kwao na mshkaji. Sasa najiuliza nikimwambia yule mume wa yule dada je mshkaji hatoniona msaliti?na pia kuacha bila kufanya kitu kuokoa ndoa ya wale watu moyo unanisuta maana anayesababisha matatizo namjua ni kiasi cha kumtaji ili aache kuharibu ndoa ya watu.

Naomba ushauri nifanye nini kuwasaidia wote wawili, yaani rafiki yangu aachane na mke wa mtu na pia kumsaidia jamaa kurudisha ndoa yake maana wana watoto wawili na anampenda sana mke wake.
 
Habari wana jamvi.nimekuja hapa kuomba ushauri kwenu ili niweze kumsaidia rafiki yangu ambae amezama kwenye penzi la mke wa mtu. Nimejaribu sana kumshauri mpaka imefikia kipindi sasa hivi hatuongei kabisa kwa sababu ya jambo hilo.

Mume wa huyo dada alishawahi kumtafuta rafiki yangu kwa kumpigia simu akimtaka aachane na mke wake lakini rafiki yangu amekuwa mjeuri hasikii.Ndoa yao imekuwa haina amani kabisa ni ugomvi kila kukicha mpaka jamaa amekuwa mlevi kupindukia kwasababu mkewe hatulii.

Sasa nimepanga nimfungie mume wa yule dada nimwambie ukweli nimuelekeze jamaa mpaka kwao na mshkaji.sasa najiuliza nikimwambia yule mume wa yule dada je mshkaji hatoniona msaliti?na pia kuacha bila kufanya kitu kuokoa ndoa ya wale watu moyo unanisuta mana anayesababisha matatizo namjua ni kiasi cha kumtaji ili aache kuharibu ndoa ya watu.

Naomba ushauri nifanye nini kuwasaidia wote wawili, yaani rafiki yangu aachane na mke wa mtu na pia kumsaidia jamaa kurudisha ndoa yake maana wana watoto wawili na anampenda sana mke wake.

Kwani huyo rafiki yako anaye mke? kama anaye kamwambie mke wake na rafiki yake pengine kuna kitu amekikosa kwa mkewe hadi anachukuwa wa wengine.

Kwani huyo rafiki yako anaye mke? kama anaye kamwambie mke wake na rafiki yake pengine kuna kitu amekikosa kwa mkewe hadi anachukuwa wa wengine.
 
Kwani huyo rafiki yako anaye mke? kama anaye kamwambie mke wake na rafiki yake pengine kuna kitu amekikosa kwa mkewe hadi anachukuwa wa wengine.






































Kwani huyo rafiki yako anaye mke? kama anaye kamwambie mke wake na rafiki yake pengine kuna kitu amekikosa kwa mkewe hadi anachukuwa wa wengine.
Hana mke lakini anaye girlfriend lakini sina mazoea na huyo binti kwasababu nilikutana nae mara moja tu.
 
Jaribu tu kuendelea kumshauri rafiki yako..tafta njia nyingine ya kumshauri...akigoma basi achana nae..umeshaplay part yako ya kumshauri..mengine achana nazo
 
Unataka kumwambia mume juu ya rafiki yako ni kuonyesha unaona wivu na kutamani wewe ndie ungrkuwa rafiki yako unae huyo mke.

Hauna aibu kabisa, katafute wako
 
Hana demu huyo, anamwonea wivu mshkaji.
Aache.....
10995090_1548655672120943_1433558828_n.jpg
 
Kosa hapo ni mwenye mke kakosea kuoa, huyu mwanamke ni msalaba kwa jamaa mpaka siku ya mwisho kama hatochukua uamuzi sahihi.
 
Back
Top Bottom