Rafiki wa Ex wangu ananitongoza

Mara nyingi, Wanaume huwa hawagombani kisa wanawake.
Kuna nafasi kubwa jamaa amepewa mchoro aje aipige. Na ataipiga tu afu atasepa.

Siku moja katika matembezi yako utawakuta wakila bata na kufurahia. Wewe utabaki unaona haya.
 
Yalinikuta hayo, demu aliyezaa na mshikaji wangu tena wakaishi PIKA PAKUA, ananitaka mpaka leo hii, nishamchana sasa siokoti simu zake wala kujibu msg.
Japo mchizi kwa sababu ya harakati zetu, sio kama miaka mi5 nyuma ila bado siwezi famya umafia huu.
 
Mkubalie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…