StBico
Member
- May 17, 2015
- 15
- 2
Habari wana JF, natafuta Rafiki wa kike, ambaye tunaweza kujenga family hapo baadae.
Sifa;
Awe mcha Mungu, akiwa Mkristo itapendeza.
Awe na uelewa wa maisha na kujua nn anapaswa kufanya
Elimu kuanzia Darasa la saba
Awe ana jiheshimu na kuheshimu wengine
Mkweli na muwazi
Asiwe Muoga
Awe Huru mwenye maamuzi
Umri kuanzia miaka 23 hadi 27
Sifa zangu;
Mcha Mungu - Dini, Mkristo Mkatoliki.
Mchapa kazi
Elimu yangu n Bachelor degree
Kazi - bado najitolea taasisi binafsi
Mkweli na muwazi
Najiheshimu na heshimu wengine pia
Kujali ndio hulka yangu
Upendo asili yangu
Age 28
NB: njoo DM Kama kweli upo serious, nahitaji kwa nia ya dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa;
Awe mcha Mungu, akiwa Mkristo itapendeza.
Awe na uelewa wa maisha na kujua nn anapaswa kufanya
Elimu kuanzia Darasa la saba
Awe ana jiheshimu na kuheshimu wengine
Mkweli na muwazi
Asiwe Muoga
Awe Huru mwenye maamuzi
Umri kuanzia miaka 23 hadi 27
Sifa zangu;
Mcha Mungu - Dini, Mkristo Mkatoliki.
Mchapa kazi
Elimu yangu n Bachelor degree
Kazi - bado najitolea taasisi binafsi
Mkweli na muwazi
Najiheshimu na heshimu wengine pia
Kujali ndio hulka yangu
Upendo asili yangu
Age 28
NB: njoo DM Kama kweli upo serious, nahitaji kwa nia ya dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app