Salaam.
Mimi nina (25yrs), mpole, muaminifu, mkarimu na mwenye heshima kwa wote na degree holder.
Natoka kwenye familia ya kawaida sana ambayo haina urafiki na familia yoyote bora, nipo hapa kutafuta family friends kutoka familia bora, yaani maboss, wafanyabiashara n.k, mwanamme au mwanamke, dini yoyote, kutoka sehemu yoyote, tunayelingana au kunizidi please nipo serious naomba urafiki hadi undungu.
Karibu waungwana, waerevu na wasitaarabu.
Atakae guswa na hili naomba ani-pm.wasalaam.
Mimi nina (25yrs), mpole, muaminifu, mkarimu na mwenye heshima kwa wote na degree holder.
Natoka kwenye familia ya kawaida sana ambayo haina urafiki na familia yoyote bora, nipo hapa kutafuta family friends kutoka familia bora, yaani maboss, wafanyabiashara n.k, mwanamme au mwanamke, dini yoyote, kutoka sehemu yoyote, tunayelingana au kunizidi please nipo serious naomba urafiki hadi undungu.
Karibu waungwana, waerevu na wasitaarabu.
Atakae guswa na hili naomba ani-pm.wasalaam.