Kazi gani?Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu