Rafiki angu kaniharibia kazi

Rafiki angu kaniharibia kazi

kibumu

Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
45
Reaction score
91
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
 
Chief
Pole kwanza kwa masaibu

Ila nakupa angalizo

Maisha yako yote,usijaribu kuiamini hata nafsi yako.
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
 
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
Kazi gani?
 
Kakufanyaje kwani , mbona husemi
 
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
Me o ke
 
Kwani Ukujifunza kwa Yesu.....tunq ishi nao tu
naijatwittersavages-20181203-0005.jpeg
 
Rafiki yako ni mkeo na watoto wako tu wanaonufaika na uwepo wako direct,sisi wengine ni tararira tu.Usimfanye chochote,ila iwe kwako ni sehemu ya funzo.
 
Hiyo kazi ni ipi? Una mkataba wa kazi? Sababu za kufukuzwa ni zipi? Umelipwa chochote baada ya kufukuzwa? ulipewa notis kwanza?
 
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu

Wanadamu ndivyo walivyo.... Pole ujagunduabmapema
 
Back
Top Bottom