Katika hali isiyokuwa ya kawaida vyombo vyombo vya habari havimtaji kabisa mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji, wamekuwa wakikwepa sana na kupepesa macho inapofika ulazima wa kumtaja Yusuph Manji katika taarifa mbalimbali zinazohusu Manji kama mwenyekiti wa klabu hiyo, wanapepesa macho badala yake wamekuwa wakiwatumia viongozi wengine wa yanga kama Makamu mwenyekiti Sanga na msemaji wao Sendeu, Je ugomvi huu ni ule wa Manji vs Mengi au Yanga vs IPP media?