Kwanini matajiri wa Yanga wamemsusia Manji hadi anateseka na kuaibika hivi?

Nondoh

JF-Expert Member
Aug 26, 2016
298
478
Kama tunavyojua klabu ya soka ya Yanga ina vina saba vya CCM na imekuwa ikijulikana kama timu ya chama na serikali. Unapo iongelea Yanga unaiongelea CCM na unapo iongelea Yanga unaiongelea Serikali.

Kwa miaka zaidi ya 10 (sina uhakika) sasa imekuwa ikifadhiliwa na mfanyabiashara maarufu, kada wa CCM na pia ni diwani huko Mbagala Bw. Yusuf Manji.

Yusuf Manji amekuwa mstari wa mbele katika kuipigania Yanga, Serikali na CCM yake kwa hali na mali. Ameweza kuondoa mgogoro ndani ya Klabu ya Yanga ambao miaka ya nyuma kila kukicha yalikuwa yanazaliwa makundi mbalimbali kama Yanga Kandambili, Yanga Ukuta, Yanga Asili, Yanga Kampuni, Yanga...

Chini ya uongozi wa Yusuf Manji sijasikia migogoro klabuni kama nilivyokuwa nikisikia huko nyuma.

Kiujumla Yusuf Manji kwa muda alio ongoza Yanga kama tunavyosikia kwenye vyombo vya habari na matokeo ya uwanjani Yanga imefanya vizuri sana. Pia ameweza kuwalipia ada za uanachama wapenzi/wanachama wa Yanga na kuwaingiza bure washabiki wa soka kwa baadhi ya mechi za Yanga.

Tarehe 25/2/2017 imekaribia kama tunavyojua kuna ule mpambano wa watani wa jadi Simba na Yanga. Tofauti na miaka ya nyuma mpambano huu utatawaliwa na sakata la madawa ya kulevya. Washabiki wa Simba watawashambulia sana Yanga juu ya hii issue na washabiki wa Yanga nina uhakika kuna watakao onyesha support kwa Manji maybe na wengine kubeba mabango na kuna ambao hawata msupport Manji hawa wanaweza ongozwa na Mzee Akilimali.

Je wewe kama mshabiki wa Yanga upo upande gani? Upo upande wa Manji (team Manji) au upande wa CCM (team Makonda)? Na ukumbuke kuwa upande wa CCM ni kusaport maamuzi ya Serikali na ilani ya chama hivyo unamsaliti Manji aliyejitolea kwa klabu yako na chama, pia kuwa upande wa Manji ni kuisaliti CCM na serikali yake pamoja na jitihada za rais JPM za kupambana na madawa ya kulevya.

Nini maoni yako?
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_gl-4.jpg

Kama mtanzania wa kawaida nimeshangazwa na huu ukimya wa viongozi wa Yanga na hata matawi ya mashabiki wa Yanga kuhusu suala la mwenyekiti Yusuph Manji, yaani hakuna hata asije kizungu mzima wala kugusia watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida pale jangwani kama kwamba huyo mtu anayeteswa huko mahabusu ni panya tu.

Yanga mkumbuke mnaishi na kwenda chooni kwaajili ya Manji.Mmeenda kuifahamu Uturuki huko kwaajili yake na raha zote mnazokula.

Hata hao viongozi makocha watatu wanaotimuliana ushuzi hapo jangwani wote anawalipa Manji lakini na ona hakuna fadhila au hata utu mlioufanya juu ya hili suala lake.

Kumbukeni mahakama ndio inayohukumu kwamba fulani ndo anakosa na sio polisi, hapo alipo Manji ni mtuhumiwa kwahiyo nilitegemea hata pole zenu hata kumtembelea au kukaripia pale sheria zimapokiikwa juu yake.

Alipotajwa Mbowe chadema walicharuka, alipotajwa Gwajima waumini wake pia walicharuka lakini kwa upande wa Manji imekuwa tofauti , yaani ameachwa kama mtoto yatima wote mmempuuza huku mwataka hela zake.

Nakumbuka miezi ya hapo nyuma Manji alitishia kujitoa Yanga , mkamwomba sana na mkamtuhumu Mengi anahusika na hata kuchoma magazeti yake na matusi juu. Lakini Makonda kumdhalilisha Manji mmetulia tuliiiii , hapa mnanifanya niamini mnabifu lenu lililo ndani ya uccm kwa Mengi.

Yaani mnaona mkimkea Makonda ntakuwa mmeidhalilisha ccm ,kwahiyo ni bora Manji ateswe ila ccm mnayoipenda isisemwe.

Yanga onyesheni kwa vitendo mnamsapoti mwenyekiti wenu na muache uoga maana hao mnaowaogopa hawalipi hata mshahara mmoja wa mchezaji wenu.
Ni hayo tu
 
Waarabu wa pemba twajuana kwa vilemba, ki ukweli mwenyekiti ni mdau kimtindo, angalia vizuri yale machoo...ila siyo issue wala breaking newz, na hata yule aliye kataa wito naye kiutu uzima & kimtindo ni mdau vile vile, ila siyo issue wala breaking newz!
 
Kama tunavyojua klabu ya soka ya Yanga ina vina saba vya CCM na imekuwa ikijulikana kama timu ya chama na serikali. Unapo iongelea Yanga unaiongelea CCM na unapo iongelea Yanga unaiongelea Serikali.

Kwa miaka zaidi ya 10 (sina uhakika) sasa imekuwa ikifadhiliwa na mfanyabiashara maarufu, kada wa CCM na pia ni diwani huko Mbagala Bw. Yusuf Manji.

Yusuf Manji amekuwa mstari wa mbele katika kuipigania Yanga, Serikali na CCM yake kwa hali na mali. Ameweza kuondoa mgogoro ndani ya Klabu ya Yanga ambao miaka ya nyuma kila kukicha yalikuwa yanazaliwa makundi mbalimbali kama Yanga Kandambili, Yanga Ukuta, Yanga Asili, Yanga Kampuni, Yanga...

Chini ya uongozi wa Yusuf Manji sijasikia migogoro klabuni kama nilivyokuwa nikisikia huko nyuma.

Kiujumla Yusuf Manji kwa muda alio ongoza Yanga kama tunavyosikia kwenye vyombo vya habari na matokeo ya uwanjani Yanga imefanya vizuri sana. Pia ameweza kuwalipia ada za uanachama wapenzi/wanachama wa Yanga na kuwaingiza bure washabiki wa soka kwa baadhi ya mechi za Yanga.

Tarehe 25/2/2017 imekaribia kama tunavyojua kuna ule mpambano wa watani wa jadi Simba na Yanga. Tofauti na miaka ya nyuma mpambano huu utatawaliwa na sakata la madawa ya kulevya. Washabiki wa Simba watawashambulia sana Yanga juu ya hii issue na washabiki wa Yanga nina uhakika kuna watakao onyesha support kwa Manji maybe na wengine kubeba mabango na kuna ambao hawata msupport Manji hawa wanaweza ongozwa na Mzee Akilimali.

Je wewe kama mshabiki wa Yanga upo upande gani? Upo upande wa Manji (team Manji) au upande wa CCM (team Makonda)? Na ukumbuke kuwa upande wa CCM ni kusaport maamuzi ya Serikali na ilani ya chama hivyo unamsaliti Manji aliyejitolea kwa klabu yako na chama, pia kuwa upande wa Manji ni kuisaliti CCM na serikali yake pamoja na jitihada za rais JPM za kupambana na madawa ya kulevya.

Nini maoni yako?View attachment 470959
Haiwezi hata siku moja kukawa na TEAM MAKONDA ndani ya Yanga kwasababu huyu dogo ni Simba.
 
Hakuna mtu anatumia pesa bila kujua itarudi vp mapesa yote anayomwaga Yanga unafikiri bure anajua yanarudije na faida! Hawa wahindi wezi sana wengi wao hata kodi hawalipi na ni wabaguzi sana na ukichunguza wengi wahamiaji haramu anatakiwa replica wa Trump aje awatimue
 
Kama mtanzania wa kawaida nimeshangazwa na huu ukimya wa viongozi wa Yanga na hata matawi ya mashabiki wa Yanga kuhusu suala la mwenyekiti Yusuph Manji, yaani hakuna hata asije kizungu mzima wala kugusia watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida pale jangwani kama kwamba huyo mtu anayeteswa huko mahabusu ni panya tu.

Yanga mkumbuke mnaishi na kwenda chooni kwaajili ya Manji.Mmeenda kuifahamu Uturuki huko kwaajili yake na raha zote mnazokula.

Hata hao viongozi makocha watatu wanaotimuliana ushuzi hapo jangwani wote anawalipa Manji lakini na ona hakuna fadhila au hata utu mlioufanya juu ya hili suala lake.

Kumbukeni mahakama ndio inayohukumu kwamba fulani ndo anakosa na sio polisi, hapo alipo Manji ni mtuhumiwa kwahiyo nilitegemea hata pole zenu hata kumtembelea au kukaripia pale sheria zimapokiikwa juu yake.

Alipotajwa Mbowe chadema walicharuka, alipotajwa Gwajima waumini wake pia walicharuka lakini kwa upande wa Manji imekuwa tofauti , yaani ameachwa kama mtoto yatima wote mmempuuza huku mwataka hela zake.

Nakumbuka miezi ya hapo nyuma Manji alitishia kujitoa Yanga , mkamwomba sana na mkamtuhumu Mengi anahusika na hata kuchoma magazeti yake na matusi juu. Lakini Makonda kumdhalilisha Manji mmetulia tuliiiii , hapa mnanifanya niamini mnabifu lenu lililo ndani ya uccm kwa Mengi.

Yaani mnaona mkimkea Makonda ntakuwa mmeidhalilisha ccm ,kwahiyo ni bora Manji ateswe ila ccm mnayoipenda isisemwe.

Yanga onyesheni kwa vitendo mnamsapoti mwenyekiti wenu na muache uoga maana hao mnaowaogopa hawalipi hata mshahara mmoja wa mchezaji wenu.
Ni hayo tu
 
Unataka wana Yanga wafanye nini hasa?

Wapige kelele mitaani?

Hujamsikia mkuu wenu wa kaya hataki watu waende kituo cha polisi? Iliyobaki hata mahakamani watakatazwa kwenda kama vile ni kosa kumbe hamna kitu kama hicho

Wana Yanga wanampa support Manji na hilo analijua fika. Si lazima wapige kelele hadi wamatopeni wasikie!
 
Kama mtanzania wa kawaida nimeshangazwa na huu ukimya wa viongozi wa Yanga na hata matawi ya mashabiki wa Yanga kuhusu suala la mwenyekiti Yusuph Manji, yaani hakuna hata asije kizungu mzima wala kugusia watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida pale jangwani kama kwamba huyo mtu anayeteswa huko mahabusu ni panya tu.

Yanga mkumbuke mnaishi na kwenda chooni kwaajili ya Manji.Mmeenda kuifahamu Uturuki huko kwaajili yake na raha zote mnazokula.

Hata hao viongozi makocha watatu wanaotimuliana ushuzi hapo jangwani wote anawalipa Manji lakini na ona hakuna fadhila au hata utu mlioufanya juu ya hili suala lake.

Kumbukeni mahakama ndio inayohukumu kwamba fulani ndo anakosa na sio polisi, hapo alipo Manji ni mtuhumiwa kwahiyo nilitegemea hata pole zenu hata kumtembelea au kukaripia pale sheria zimapokiikwa juu yake.

Alipotajwa Mbowe chadema walicharuka, alipotajwa Gwajima waumini wake pia walicharuka lakini kwa upande wa Manji imekuwa tofauti , yaani ameachwa kama mtoto yatima wote mmempuuza huku mwataka hela zake.

Nakumbuka miezi ya hapo nyuma Manji alitishia kujitoa Yanga , mkamwomba sana na mkamtuhumu Mengi anahusika na hata kuchoma magazeti yake na matusi juu. Lakini Makonda kumdhalilisha Manji mmetulia tuliiiii , hapa mnanifanya niamini mnabifu lenu lililo ndani ya uccm kwa Mengi.

Yaani mnaona mkimkea Makonda ntakuwa mmeidhalilisha ccm ,kwahiyo ni bora Manji ateswe ila ccm mnayoipenda isisemwe.

Yanga onyesheni kwa vitendo mnamsapoti mwenyekiti wenu na muache uoga maana hao mnaowaogopa hawalipi hata mshahara mmoja wa mchezaji wenu.
Ni hayo tu
We subiri akitoka mahakamani atabwanga manyanga, hapo sasa utaona jinsi vibaraka shia na makanzu yanavyo timuliwa kumbembeleza arudi kua mwenye kiti, we subiri movie inaendelea...
 
Kama mtanzania wa kawaida nimeshangazwa na huu ukimya wa viongozi wa Yanga na hata matawi ya mashabiki wa Yanga kuhusu suala la mwenyekiti Yusuph Manji, yaani hakuna hata asije kizungu mzima wala kugusia watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida pale jangwani kama kwamba huyo mtu anayeteswa huko mahabusu ni panya tu.

Yanga mkumbuke mnaishi na kwenda chooni kwaajili ya Manji.Mmeenda kuifahamu Uturuki huko kwaajili yake na raha zote mnazokula.

Hata hao viongozi makocha watatu wanaotimuliana ushuzi hapo jangwani wote anawalipa Manji lakini na ona hakuna fadhila au hata utu mlioufanya juu ya hili suala lake.

Kumbukeni mahakama ndio inayohukumu kwamba fulani ndo anakosa na sio polisi, hapo alipo Manji ni mtuhumiwa kwahiyo nilitegemea hata pole zenu hata kumtembelea au kukaripia pale sheria zimapokiikwa juu yake.

Alipotajwa Mbowe chadema walicharuka, alipotajwa Gwajima waumini wake pia walicharuka lakini kwa upande wa Manji imekuwa tofauti , yaani ameachwa kama mtoto yatima wote mmempuuza huku mwataka hela zake.

Nakumbuka miezi ya hapo nyuma Manji alitishia kujitoa Yanga , mkamwomba sana na mkamtuhumu Mengi anahusika na hata kuchoma magazeti yake na matusi juu. Lakini Makonda kumdhalilisha Manji mmetulia tuliiiii , hapa mnanifanya niamini mnabifu lenu lililo ndani ya uccm kwa Mengi.

Yaani mnaona mkimkea Makonda ntakuwa mmeidhalilisha ccm ,kwahiyo ni bora Manji ateswe ila ccm mnayoipenda isisemwe.

Yusuf Manji ameitwa kwa mahojiano polisi kuhusu tuhuma ambazo ni za kwake binafsi. Mahojiano yatakapomalika na ikathibitika anahusiak au la, ndiyo hapo wanachama wa yanga watakapoweza kusema kitu. Kwa hatua ya sasa ambapo polisi wanafanya kazi yao sidhani ni busara kwa wanayanga kuanza kuzungumza jambo wasilolijua

Yanga onyesheni kwa vitendo mnamsapoti mwenyekiti wenu na muache uoga maana hao mnaowaogopa hawalipi hata mshahara mmoja wa mchezaji wenu.
Ni hayo tu
 
Kuna support kubwa kama ile ya juzi jamaa mpaka wanavua tshirt zao na kufuta vumbi Range Rover pale Central hadi ikapelekea jamaa kutaka kupora cheo cha IGP.....
 
kama kwamba huyo mtu anayeteswa huko mahabusu ni panya tu.
Acha uchochezi wewe, mbona kama unataka kupigwa BAN humu YANGA unataka wafanye nini ?
nani kakupa taarifa za uteswaji wa Manji?
unapata wapi ujasiri wa kuandika uliyoyaandika?
kwanini usiongelee makampuni yake yanayomtegemea kwa 100%?

kumbuka katajwa Manji na sio taasisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom