This's too much. Nimejaribu ku-Google sijapata jibu and maybe, hapa naweza kupata msaada kwa wadau. In short, natumia Samsung E5. The problem ni kwenye radio. Mara kwa mara huwa inakata wakati ipo hewani... na ikishikata ni hadi uitekenye! Na wakati mwingine huwa inakata kila baada ya sekunde chache kabisa ndipo inatulia ingawaje inakuwa ni utuliaji wa muda mfupi tu. So, kama kuna mtu anafahamu solution ya hili tatizo plz, assist bila kujali tatizo kama hilo ulili-experience kwenye simu aina gani. Hata kama ni trial and error, I don't care... am willing to take the chance.
Thanks in advance.
Thanks in advance.