JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,559
Habarini wadau wa JF! Hapa nasikiliza kipindi cha nyimbo za zamani kwenye kituo kipya cha radio hapa DSM. Nyimbo wanazopiga ni za zamani sana za TZ na hata Kenya.
Sasa najiuliza huwa wanazipata wapi maana maktaba yao imesheheni na ninavyoelewa nyimbo hizi sio rahisi kupatikana kama za nje yaani Ulaya na Marekani na kwa ubora unaokubalika kwa kucheza redioni. Anayefahamu tafadhali!
Sasa najiuliza huwa wanazipata wapi maana maktaba yao imesheheni na ninavyoelewa nyimbo hizi sio rahisi kupatikana kama za nje yaani Ulaya na Marekani na kwa ubora unaokubalika kwa kucheza redioni. Anayefahamu tafadhali!