Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Inamaana wewe hakuna kitu cha hao akina chi ha xui unacho kitumia?
Safari na mziki ni bomba
hahaaaa incliding hichi kisimu ninachoandikia hapa ni made in tai chi
Inamaana wewe hakuna kitu cha hao akina chi ha xui unacho kitumia?
Safari na mziki ni bomba
Hahaha kwa style hiyo lazima tukukute Muhimbili kwenye wodi ya SANLG umening'inizwa mguu juu
Hahaha halafu cha ajabu mlio wa mziki kwenye hiyo pikipiki ni mkubwa kuliko hata mlio wa pikipiki yenyewe wachina banaaSiku moja nilitaka kula mueleka pale Ubungo nilipakia mama mwenye makalio mazito akanogewa na Alaji Alaji dah we acha tu niliyumba mpaka nikakoswa koswa kupigwa V8 we fikiria mama alivyo fungasha nyuma alafu awe anacheza Alaji lazima ukose balance.
Ni hatari sana kwa maisha yetu boda boda nitapanda vijijini sio mjini kwa uendeshaji ninaouona kila siku its too serious na huo muziki munene ndo balaa kabisa.