Baba Heri
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,503
- 2,222
Sijui mna mkataba gani na shirika la Deutsche Welle kurusha matangazo yao ya mchana ila mnachefua sana pale kila siku inapotimia saa saba dk 15 mchana wakati uchambuzi wa habari umenoga automatically nyinyi mnakatisha ghafla na kucheza tangazo lenye sauti kubwa ya kushtusha linalohusu shule fulani.
Tumieni common sense, ni bora msubiri wakati wa kusoma salam ndo mcheze hilo tangazo maana kama hamjajua mtapelekea hiyo shule kuchukiwa kwa staili mnayoshtusha watu na kuwakatishia mtiririko wa habari.
Unasaini mkataba na mteja mwenye shule kuwa tutacheza tangazo lako saa saba dk 15 wakati huku mmeshasaini mkataba mwingine na Deutsche Welle, tabia hiyo ina jina lisilofaa kuliandika hapa!
Tumieni common sense, ni bora msubiri wakati wa kusoma salam ndo mcheze hilo tangazo maana kama hamjajua mtapelekea hiyo shule kuchukiwa kwa staili mnayoshtusha watu na kuwakatishia mtiririko wa habari.
Unasaini mkataba na mteja mwenye shule kuwa tutacheza tangazo lako saa saba dk 15 wakati huku mmeshasaini mkataba mwingine na Deutsche Welle, tabia hiyo ina jina lisilofaa kuliandika hapa!