Rader recruitment matapeli?

Rader recruitment matapeli?

frank mayige

Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
61
Reaction score
11
Habari!
Nimepigiwa cmu na hawa jamaa wa Radar Recruitment eti wakisema wamenichagua kwenda zanzibar kufanya kazi kwa mshahara wa sh. 1.6m, lakini nikipata kazi aliyeniunganisha nitampa laki 5, kutoka kwenye mshahara wangu, halafu nitoe 150,000, kwaajili ya mtu anayetoka zanzibar kuja kunifanyia interview, nikaona jamaa ni matapeli kabisa kwahiyo atake ona namba hii awe makini: 0679411888, Ahsante.
 
Cyo hao tu hata Nirod consultants ni matapeli wameita watu waende kwenye interview hotelini wanataka utume kwanza elfu 20000 kuwen makini ndg
 
Hao matapeli sana. Hata Mimi walinifanyia interview ya namna hiyo wiki 3 zilizopita. Nafasi ya M&E, FEMA ndio walikuwa wanahitaji mtu
 
Mbona inajulikana recruitment agency zoote zina commision either kutoka kwa muajiri au muajiriwa, ila hakunaga kutoa comission kabla hujapokea hela, unaitoa once unapopokea hela yako!
 
Hao matapeli sana. Hata Mimi walinifanyia interview ya namna hiyo wiki 3 zilizopita. Nafasi ya M&E, FEMA ndio walikuwa wanahitaji mtu
Kwaio ulitoa hela na wewe kabla ya hio interview
 
Acheni kuchafua majina ya kampuni ya watu,hapo huitaji akili nyingi kujua aliyekupigia simu ndio tapeli anayetumia majina ya kampuni za kuajiri.

Wengi tumepata kazi kupitia kampuni hizo hizo.
 
Mwenyewe jana wameni email kuwa inatatakiwa niende kwa usaili tarehe 29 mwezi cha ajabu wamenitaka nitume kwanza elfu 20 kwa AIRTEL MONEY 0782185442 Jion napokea ujumbe kwa simu yangu kuwa namba ile ya kutuma pesa imebadilishwa nsitumie ya kwenye email nitumie hii waliyontumia kwa simu 0782150996 jamaa wanajiilta NURETS CONSULTANTS KAMA SIO UTAPELI NI NN JAMAN SI WANGEWEKA VIGEZO HVYO TOKA MWANZO WAKATI TUNA APPLY HIYO KAZI
 
Radar sio matapeli ila matapeli wanatumia jina la radar kuwachanganya wapenda mteremko. Jinsi ya kudeal na hivi vitu ni rahisi ukitulia kidogo, ukipigiwa simu kama hiyo wasikilize kisha kata, tafuta namba za Radar zipo kwenye site yao wapigie, waulize kama ni kweli umepewa hiyo offer utajua ukweli.
 
duuh... ila mjin hpa . watakiwa ufaulu somo la kujiongeza
 
Radar hii hii au hiyo ni mpya inaitwa rader, coz radar hawana shida mbona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom