Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,665
- 3,047
Rada ilinunuliwa kwa pesa za marekani 40 million. Ms. Short alimwambia Mkapa kuwa ile rada ilikuwa gharama mno, na kuwa Tanzania ilikuwa haihitaji rada ambayo pamoja na mengine ina uwezo wa miltaly Defence systems. Short alisema Tanzania inahitaji Rada rahisi ambayo itafanya kazi ya kumonita ndege za ki-raia kwa kuwa haina jeshi ambalo linahitaji rada kama ile. Mkapa na wapambe wake walikataa na kutaka ile "sophisticated". Tunambiwa ile rada imeharibika, na uharibifu huu umetokea mara nyingi, inawezekana kuwa imekufa.
Maswali yanakuja, Rada bei ni 40 million Dollar; muuzaji kachukua hizo pesa lakini hawezi kukupa spea au huduma. Wewe mtumiaji huna mafundi, hata BAE unashindwa kuwatafuta, unatafuta fundi Kenya au South Africa. Kwa nini spea na mafundi wasitoke BAE?? Sababu iliyotolewa na wahusika ni kuwa BAE hawahusiki. We paid USD 40 million (USD 28 million net for BAE); but we can't get them service it?
Sasa hivi ndege zinaelekezwa kwa kutumia watu yaani "manual". Si hatari hii?
Kuna uwezekano mkubwa sana ile rada ambayo ipo Airport siyo ile ya BAE, au?? Ile ya BAE ipo wapi? It can be a very stupid question, but I doubt it is an espionage case!!.
Maswali yanakuja, Rada bei ni 40 million Dollar; muuzaji kachukua hizo pesa lakini hawezi kukupa spea au huduma. Wewe mtumiaji huna mafundi, hata BAE unashindwa kuwatafuta, unatafuta fundi Kenya au South Africa. Kwa nini spea na mafundi wasitoke BAE?? Sababu iliyotolewa na wahusika ni kuwa BAE hawahusiki. We paid USD 40 million (USD 28 million net for BAE); but we can't get them service it?
Sasa hivi ndege zinaelekezwa kwa kutumia watu yaani "manual". Si hatari hii?
Kuna uwezekano mkubwa sana ile rada ambayo ipo Airport siyo ile ya BAE, au?? Ile ya BAE ipo wapi? It can be a very stupid question, but I doubt it is an espionage case!!.