R.I.P Brig.Gen. Hashim Mbita

R.I.P Brig.Gen. Hashim Mbita

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,330
Reaction score
829,450
1430106426403.jpg
 
daaah, RIP. hawa ndio wazee wakongwe kwenye chombo chetu, wazee wa system
 
huyu mzee kachukua namba..?!doh....dunia haiachi kitu..!
 
Mkuu kusema kweli inasikitisha sana kuona jinsi tusivyo na shukurani. The man who passed away, if he passed a way in countries where those who give all to their earn recognition, leo kila kona ya Tanzania ingekuwa ni majonzi.
 
Mkuu kusema kweli inasikitisha sana kuona jinsi tusivyo na shukurani. The man who passed away, if he passed a way in countries where those who give all to their earn recognition, leo kila kona ya Tanzania ingekuwa ni majonzi.

Majonzi yalitakiwa yawe kwetu au huko kwa nchi alizozikomboa
 
Back
Top Bottom