Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,625
- 29,891
Isa bin Maryam. Hakuzaliwa kwa uwezo wa Kibinadamu. Jiulize kwa nini anaitwa Bin Maryam jina la mamaye? Ni sababu hakutungwa mimba kwa njia ya Kawaida. Hakuwa na Baba wa Duniani. Maana yake nini?
Ushahidi kutoka Qur’an
Surat Maryam (19:16–21):
“Na mtaje Mariamu katika Kitabu, alipoweka pembeni sehemu ya mashariki.
Akajitenga nao kwa pazia, nasi tukampelekea roho yetu (Jibril), akamtokea kama mwanaume mkamilifu.
Akasema: ‘Hakika mimi najilinda kwa Mwenyezi Mungu dhidi yako, ikiwa unamcha Mungu.’
Akasema: ‘Mimi ni mjumbe wa Mola wako, ili nikupatie mwana safi.’
Akasema: ‘Nitakuwaje na mwana hali mimi sijaguswa na mwanaume yeyote?’
Akasema: ‘Ndio hivyo; Mola wako amesema: Hayo ni mepesi kwangu, ili tumfanye kuwa ni ishara kwa watu na rehema itokayo kwetu.’”
(Maryam 19:16–21)
Lakini unaona kuwa huyu Mjumbe anajitambulisha yeye ni nani. Hakumkaba Maryam hamutia kashkash. Alijitambulisha.
🔹 Hapa tunajifunza wazi kuwa:
Mariamu (Maryam) alibeba mimba bila kuguswa na mwanaume.
Quran inasema ISA alibebwa kwenda Mbinguni. Itaje pia mtu mwingine ambaye hakufa alipaa na pia hakuzaliwa kwa mume na mke
Surah An-Nisā (4:157–158)
وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ... بَل رَّفَعَهُ ٱللَّهُ إِلَيْهِ ۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا
“Wala hawakumuuwa, wala hawakumsulibisha, bali iliwadhihirikia hivyo tu. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake...”
🔹 Maana: Isa hakuuliwa wala kusulubiwa — Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake.
Hii inaonyesha kwamba yuko hai, si kwamba alikufa.
Quran inaposema Isa ni alama ya Kiyama maana yake nini? Na kwa nini yeye ashuke na si Muhamad? Kati ya Muhamad na Isa nani Mkubwa? Je kwa nini umfuate mdogo badala ya mkubwa wake? Je isa imetajwa mara ngapi katika Quran? Muhamad mara ngapi? Je kuna maelezo ya kuzaliwa Muhamad ya kina kama ya Isa?
Surah Az-Zukhruf (43:61)
Tafsiri:
Neno “عِلْمٌ لِلسَّاعَةِ” (alama ya Saa) linafasiriwa na wanazuoni wengi (Ibn ‘Abbas, Mujahid, Qatadah, na wengine) kwamba:
“Kurudi kwa Isa bin Mariamu duniani ndiyo mojawapo ya alama za Kiyama.”
Utagundua kuwa Waislamu walijichanganya pakubwa sana kuhusu kuichukua story ya Isa kuiweka kwenye Quran. Inaonesha ukubwa wa Isa kuliko wa Muhamad.
Ushahidi kutoka Qur’an
Surat Maryam (19:16–21):
“Na mtaje Mariamu katika Kitabu, alipoweka pembeni sehemu ya mashariki.
Akajitenga nao kwa pazia, nasi tukampelekea roho yetu (Jibril), akamtokea kama mwanaume mkamilifu.
Akasema: ‘Hakika mimi najilinda kwa Mwenyezi Mungu dhidi yako, ikiwa unamcha Mungu.’
Akasema: ‘Mimi ni mjumbe wa Mola wako, ili nikupatie mwana safi.’
Akasema: ‘Nitakuwaje na mwana hali mimi sijaguswa na mwanaume yeyote?’
Akasema: ‘Ndio hivyo; Mola wako amesema: Hayo ni mepesi kwangu, ili tumfanye kuwa ni ishara kwa watu na rehema itokayo kwetu.’”
(Maryam 19:16–21)
Lakini unaona kuwa huyu Mjumbe anajitambulisha yeye ni nani. Hakumkaba Maryam hamutia kashkash. Alijitambulisha.
🔹 Hapa tunajifunza wazi kuwa:
Mariamu (Maryam) alibeba mimba bila kuguswa na mwanaume.
Quran inasema ISA alibebwa kwenda Mbinguni. Itaje pia mtu mwingine ambaye hakufa alipaa na pia hakuzaliwa kwa mume na mke
Surah An-Nisā (4:157–158)
وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ... بَل رَّفَعَهُ ٱللَّهُ إِلَيْهِ ۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا
“Wala hawakumuuwa, wala hawakumsulibisha, bali iliwadhihirikia hivyo tu. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake...”
🔹 Maana: Isa hakuuliwa wala kusulubiwa — Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake.
Hii inaonyesha kwamba yuko hai, si kwamba alikufa.
Quran inaposema Isa ni alama ya Kiyama maana yake nini? Na kwa nini yeye ashuke na si Muhamad? Kati ya Muhamad na Isa nani Mkubwa? Je kwa nini umfuate mdogo badala ya mkubwa wake? Je isa imetajwa mara ngapi katika Quran? Muhamad mara ngapi? Je kuna maelezo ya kuzaliwa Muhamad ya kina kama ya Isa?
Surah Az-Zukhruf (43:61)
“Na hakika yeye (Isa) ni alama ya Saa (Kiyama), basi msitilie shaka, na nifuateni; huu ndio njia iliyo nyoofu.”وَإِنَّهُ لَعِلْمٌ لِلسَّاعَةِ فَلَا تَمْتَرُنَّ بِهَا وَاتَّبِعُونِ ۚ هَٰذَا صِرَاطٌ مُّسْتَقِيمٌ
Tafsiri:
Neno “عِلْمٌ لِلسَّاعَةِ” (alama ya Saa) linafasiriwa na wanazuoni wengi (Ibn ‘Abbas, Mujahid, Qatadah, na wengine) kwamba:
“Kurudi kwa Isa bin Mariamu duniani ndiyo mojawapo ya alama za Kiyama.”
Utagundua kuwa Waislamu walijichanganya pakubwa sana kuhusu kuichukua story ya Isa kuiweka kwenye Quran. Inaonesha ukubwa wa Isa kuliko wa Muhamad.