Quran ni zaidi ya sayansi.Mawingu ni mkusanyiko wa Molekuli au Mvuke fuwele utokanao na maji au kemikali mbalimbali, unaelea angani juu ya uso wa dunia.
Suratul Nur 24:43
Je! Huoni ya kwamba m/mungu huya sukuma mawingu kisha huyaumbatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona mvua ikitoka kati yake na huteremsha kutoka juu kwenye mlima.
Ya mawingu mvua ya mawe, akamsibu nayo amtakae na akamuepusha nayo amtakae, Hukurubia mmetuko wa umeme wake kupofua macho. Qur-an 24:43
Vimawingu (mirundi ya mawingu) hivi vinapo jiunga pamoja na kujitengeneza kuwa wingu moja kubwa sana
Kuelekea juu kiwima wima (vertically) hali hii husababisha wingu hilo, kujipoza na kwa hali hiyo hutengeneza kitu kinacho itwa (Hail),
Unyevunyevu wa baridi na huwa na maji maji hayo huendelea kukua na kuwa binge kubwa sana, Mfano wa barafu kubwa.
Bonge hilo la unyevu na maji yanapo kuwa mazito sana nguvu ya mvutano husababisha bonge hilo la mchanganyiko wa unyevu na maji uliotengeneza wingu kushuka chini polepole na husababisha mvua.
Pamoja na unyevunyevu Mwezi mungu anaeleza habari hizi katika Qur an.
Aya hiyo baada ya kutaja mawingu na mvua ya maji inazungumzia mvua ya mawe na radi..... " Na huteremka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe, .... "
Watafiti wa hali ya hewa wamekuta kuwa mawingu hata Cumulonimbus hufikia kimo cha futi 25,000 mpka 30,000 (mail4.7 hadi 5.7) kama milima,
Kama Qur an ilivyo sema...
" Na huteremka kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe "
Aya hii inaweza kuleta swali.
Kwanini Aya inasema mvua ya mawe? Je, ina maanisha kuwa mvua ya mawe ndicho kipengele kile kinachosemwa na kitabu kiitwacho Meteorology Today juu ya jambo hili
Hivi kwanini hamuishiwi vitukoQur an ni kitabu kinacho elezea mambo yote ya sayansi kabla ya wavumbuzi kuzaliwa na ndio maisha tunayo ishi hasa kwanini tusiamini.
Hapo kuna sayansi gani ndugu yangu!?Quran ni zaidi ya sayansi.
Kwamba quran iko desperate kiasi hiki hadi ithibitishwe na ugunduzi wa wanasayansi makafiri?Per Meta AI.
Question.
Does the quran present a scientific theory of cloud formation?
Answer.
The Quran does describe the process of cloud formation and precipitation in several verses, but it's essential to understand the context and limitations of these descriptions.
One of the most commonly cited verses is:
"Have you not seen how God drives clouds, then gathers them together, then piles them up, and then you see rain coming forth from their midst?" (Quran 24:43)
Other relevant verses include:
- "It is God who sends the winds, and they stir up the clouds, and We drive them to a dead land and give life thereby to the earth after its death." (Quran 35:9)
- "And We send down from the clouds water pouring forth abundantly, that We may produce thereby corn and herbs and gardens of thick foliage." (Quran 31:10)
While these verses describe the process of cloud formation and precipitation, they do not provide a comprehensive scientific theory. Instead, they offer a poetic and descriptive account of natural phenomena, emphasizing God's role in the process.
From a scientific perspective, the Quran's description of cloud formation can be seen as consistent with some basic principles of meteorology, such as:
1. Cloud formation: Clouds form when water vapor in the air condenses onto particles, like dust or salt.
2. Wind and cloud movement: Winds can drive clouds across the sky, leading to the accumulation of clouds and precipitation.
3. Precipitation: When clouds become saturated with water, precipitation occurs in the form of rain, snow, or hail.
However, the Quran's description does not provide detailed explanations of the underlying scientific mechanisms, such as:
1. Evaporation and condensation processes
2. Atmospheric circulation patterns
3. Cloud microphysics and precipitation mechanisms
In conclusion, while the Quran's description of cloud formation and precipitation is poetic and consistent with some basic principles of meteorology, it does not present a comprehensive scientific theory. The Quran's primary focus is on conveying spiritual and moral messages, rather than providing detailed scientific explanations.
Is there any other scripture of 1400yrs old that can give such scientific process?Per Meta AI.
Question.
Does the quran present a scientific theory of cloud formation?
Answer.
The Quran does describe the process of cloud formation and precipitation in several verses, but it's essential to understand the context and limitations of these descriptions.
One of the most commonly cited verses is:
"Have you not seen how God drives clouds, then gathers them together, then piles them up, and then you see rain coming forth from their midst?" (Quran 24:43)
Other relevant verses include:
- "It is God who sends the winds, and they stir up the clouds, and We drive them to a dead land and give life thereby to the earth after its death." (Quran 35:9)
- "And We send down from the clouds water pouring forth abundantly, that We may produce thereby corn and herbs and gardens of thick foliage." (Quran 31:10)
While these verses describe the process of cloud formation and precipitation, they do not provide a comprehensive scientific theory. Instead, they offer a poetic and descriptive account of natural phenomena, emphasizing God's role in the process.
From a scientific perspective, the Quran's description of cloud formation can be seen as consistent with some basic principles of meteorology, such as:
1. Cloud formation: Clouds form when water vapor in the air condenses onto particles, like dust or salt.
2. Wind and cloud movement: Winds can drive clouds across the sky, leading to the accumulation of clouds and precipitation.
3. Precipitation: When clouds become saturated with water, precipitation occurs in the form of rain, snow, or hail.
However, the Quran's description does not provide detailed explanations of the underlying scientific mechanisms, such as:
1. Evaporation and condensation processes
2. Atmospheric circulation patterns
3. Cloud microphysics and precipitation mechanisms
In conclusion, while the Quran's description of cloud formation and precipitation is poetic and consistent with some basic principles of meteorology, it does not present a comprehensive scientific theory. The Quran's primary focus is on conveying spiritual and moral messages, rather than providing detailed scientific explanations.
Wewe una hasira zako huna content ku challenge mada ya hapo juu, acha jaziba Qur"an is there to stay for everHivi kwanini hamuishiwi vituko
Kitabu ni maandishi.Kwamba quran iko desperate kiasi hiki hadi ithibitishwe na ugunduzi wa wanasayansi makafiri?
Why should there be?Is there any other scripture of 1400yrs old that can give such scientific process?
Na wewe una hasira zako tu, unataka ninkifundishe sayansi ni nini definition inao tolewa form one first term, mtaendelea kuumia Qur"an ni devine book kama hutaki kukubali go en hung.Hapo kuna sayansi gani ndugu yangu!?
Why it shdnt be there?Why should there be?
Because significant scientific developments to understand this phenomena in such detail are relatively new. Some would even say the scientific process itself, in it's current rigorous and detail oriented way, is hardly older than 500 years.Why it shdnt be there?