Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
hawa watu wanapotezana hawa... yani mtu hajui hata chuo kikoje alafu anamshauri mwenzake mambo ya chuoWewe umesoma nn !! Maana naona unakatisha tamaa tu wenzako wakati hata diploma huna !!! Nimepitia post zako kadhaa unaomba ushauri wa kwenda kusoma mara clinical medicine na nursing diploma hydom .. Em nenda kasome kwanza afu ukisha pata hata diploma njoo uendelee kushauri watu ..labda utakuwa umeelimika kidogo... Idiot
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1085052/
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1085194/
Jamii Forum is never boring😀😀😀hawa watu wanapotezana hawa... yani mtu hajui hata chuo kikoje alafu anamshauri mwenzake mambo ya chuo
hii ni hatari sana dada angu...Jamii Forum is never boring😀😀😀
kweli mnajua muaibisha mtu, ha ha ha haWewe umesoma nn !! Maana naona unakatisha tamaa tu wenzako wakati hata diploma huna !!! Nimepitia post zako kadhaa unaomba ushauri wa kwenda kusoma mara clinical medicine na nursing diploma hydom .. Em nenda kasome kwanza afu ukisha pata hata diploma njoo uendelee kushauri watu ..labda utakuwa umeelimika kidogo... Idiot
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1085052/
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1085194/
MfamasiaWhat is pharmacy? What's the impotance of pharmacists? What do pharmacists do?
Dogo Umeongea uongo mtupu.
1. Hamna pharmacist anaetengeneza dawa bongo hapa. (Labda ULAYA)
kama yupo humu jf ajitokeze
2.Research za magonjwa ufanywa na ma Doctors na watu wa Maabara tu.
3 Research unayoizungumzia ww ni ip.?
Maana mpaka waalimu pia wanafanya Research.
4. Pharmacist w bongo kazi yake ni kugawa dawa tu.
yaan ukisoma pharmacy hapa kwetu Tanzania utafanya kazi ya kugawa dawa dirishani tu na ajira zake ni adimu kupata ....halaf hata wenye degree wanaomaliza post zao uwa zinatoka serikalini lakn hawaajiriwi wote asilimia kubwa wanaachwa mtaani ili wajiongeze wafungue maduka ya kuuza dawa.....inshot hii course kwa hapa bongo sikushauri uisome ....
Wewe umesoma nn !! Maana naona unakatisha tamaa tu wenzako wakati hata diploma huna !!! Nimepitia post zako kadhaa unaomba ushauri wa kwenda kusoma mara clinical medicine na nursing diploma hydom .. Em nenda kasome kwanza afu ukisha pata hata diploma njoo uendelee kushauri watu ..labda utakuwa umeelimika kidogo... Idiot
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1085052/
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1085194/
Mfamasia
: Anafanya kazi kwenye drug regulatory authority kama TFDA kwa kuhakikisha dawa zinazotengenezwa na kuingizwa ni salama,zina ubora na zinafanya kazi vizuri
: Anafanya kazi hospitali kwa kutoa taarifa kuhusu dawa kwa health care professionals wengine,kutoa dawa na kuhakikisha dawa zinatumika vizuri na mgonjwa
: Anafanya kazi kwenye community pharmacy kwa kusikikiliza direct complaints na kutoa dawa zisizohitaji prescription kwa wagonjwa na kuwashauri namna nzuri ya kutumia
: Anafanya kazi kwenye academic institutions,mfano walimu pale school of pharmacy MUHAS ni wafamasia
: Anafanya kazi viwandani kutengeneza dawa,mfano pale Zenufa,Shellys,Keko na vingine kuna wafamasia wengi tu wanatengeneza dawa
: Anafanya research and development of drugs,hii ni kazi yake.Anasoma medicinial chemistry na pharmacognosy ili aweze kugundua dawa mpya.Mfano wafamasia waligundua venom ya nyigu ina anti cancer activity
Kama kuna nilizosahau mtaongezea.Mfamasia ni health care professional mwenye taarifa nyingi kuhusu dawa kuliko mwingine yoyote kuanzia nature,mechanism of action,indication,contraindication,adverse effects,drug drug interactions,food drug interactions,etc etc etc
Mfamasia ndio mshauri wa daktari(bongo a pharmacist can not prescribe) kuhusu dawa,hivyo baada ya diagnosis,dokta njoo nikupe best choices ya dawa for that particular disease
Happy pharmacist day to all (25/9/2016)