Questionaire ya NHC: Ni sahihi kuuliza asili au rangi ya mpangaji?

Nehemia Mchechu wewe ni mmoja wa wazalendo tunaowahitaji kwa sasa fanya kazi kwa manufaa ya wote sio kundi fulani la watu... Hivi kumuuliza mtu kabila, rangi au utaifa kuna ubaya gani kama kuficha utambulisho huo hauna nia ya uhalifu? Mchecho wewe ni kijana mdogo uliyeamua kuonyesha umma kwamba vijana wanaweza. hakuna atakayekufanya kitu kwa kila jambo jema unalolifanya kwa maslahi ya umma watanzania wote tuko nyuma yako kwa mema yote unayofanya kwa nchi yako.
 
wenye nacho ndio wanakaa nyumba hizo lakini wamekuwa wanaisumbua NHC na serikali kila inapotaka kupandisha kodi ni bora sasa tukajua uwezo wao kwa manufaa ya nchi. Walizoea kuishi nyumba hizo kwa mazoea kama wataona kodi inayopandishwa ni kubwa wana haki ya kuhamia mtaani kama wanahisi huko ndiko watapata nyumba za bei rahisi ....utang'ang'aniaje kukaa nyumba ya kupanga kama gharama imeongezeka si katafute kwa anayepangisha chini ya hapo nafikiri kuna faida ya kupanga NHC na ndio sababu ya mivutano inayoendelea..... Hongera Waziri Anna Tibaijuka na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa uamuzi wenu wa kumuunga Mkono Mkurugenzi Mkuu wa NHC Nehemia Mchechu kule Dodoma alipoomba kupandisha bei ya pango za nyumba za shirika hilo. Nyumba za NHC ndio nyumbaa pekee Tanzania ambazo wapangaji wanalipa baada ya kuikalia nyumba kila mwezi sio kwa mwaka kama ilivyo kwa wengine.
 
wapangaji wa NHC sio watanzania wa kipato cha chini kama wanavyotaka kutudanganya watanzania wote ndio sababu wameingia hofu walipotakiwa kuweka wazi uwezo wao kwa shirika hilo. Hivi kama mali walizonazo ni halali wanaogopa nini kwa mfano kusema namiliki nyumba tatu mbali na hii niliyopanga.

Nyerere alitaifisha nyumba hizo zikiwemo za wahindi, waafrika, wazungu na waarabu na kuziweka mikononi mwa serikali kwa sasa ni za umma. haiingii akilini kusema nyumba hizo zilikuwa za wahindi hivyo wanatakiwa kupendelewa kwani kama ingekuwa hivyo bora zingerudi kwa wamiliki wa mwanzo kabla hazijataifishwa. nyumba kujengwa na mwafrika sio ya waafrika wote wengi wanaokalia nyumba hizo sio wale wamiliki wa mwanzo kabla nyerere hajataifisha
 
<br />
<br />
Wewe acha kutumia limasaburi lako kujibu upupu hapa kuweza kuchukua taarifa hizo lazma huwa na Data protection Act hili kumlinda mtoa taarifa zake na pia mpokea taarifa, ndio kwanza state inandaa mchakato mzima wa data protection kwaajili ya nitambulisho vya utaifa kama nia ya NHC ni njema kwanini wasisubiri hilo au ndio utendaji wakiluhanjo lunjo hivi?

sasa kama state haina data protection act majina/information zetu huko BANK na kwingineko ambako wana data zetu kama tume wa uchaguzi walizikusanya kwa kutumia kinga gani?
au NHC ni wakwnza kukusanya information hapa nchini? na hizi sensa zilizokwisha fanyika hapa nchi je? hacha utoto bwana mdogo

kwanza wewe ni muhindi au mpakistani naona hii imekula kwako au ni yaya kwa wahindi hapo magorofani, watumwa bana utawajua tu
 
kimtazamo wa haraka haraka nhc inawapangaji wengi wahindi (watz na wahamiaji). Pengine kwa kuwa hawajengi hapa kwasababu wanatumia nchi hii kama njia kuhamia uingereza na canada au kwa kuwa bado wanawasiwasi kuna siku raisi fulani ajaye atawafukuza nchini na kutaifisha mali zao. Nhc kama shirika la taifa lina hitaji kujua kuwa wateja wao ni jamii ya aina gani, wapo kwenye social cluster ipi ili iwe rahisi kuwaboreshea huduma. Je ni kwanini nyumba nyingi zipo katika jamii fulani..n.k Ubaguzi unaanza pale ww unapoanza kujibagua mwenyewe. Nhc katika hili mpo sahihi. Kuhusua data protection huwa kuna disclaimer katika sehemu zote unazojaza data zako, kutokuwa na sheria ni mapungufu ya nchi lakini haizuii watu kutoa information zao zinazohitajika. Nhc sio wa kwanza katika hili, Rejea form za mikopo katika mabenki ambapo unaweka mpaka slip zako, mikopo elimu ya juu, form za waajiri, baadhi ya nyumba za kupanaga n.k
 
  • Thanks
Reactions: FJM
ni bora waulize na wafatilie-maana nyumba nyingi za nhc zimekuwa ni nyumba za wahindi,watanzania hawapewi hizo nafasi,sijui ni kwa nini,inabidi wakat wa kugawa wapewe native tanzanian kwanza,hawa wahindi wapewe second priority
 
This shows that people are not ready to intergrate with the rest of wananchi,I m afraid.Usiogope ndugu!
 
ni bora waulize na wafatilie-maana nyumba nyingi za nhc zimekuwa ni nyumba za wahindi,watanzania hawapewi hizo nafasi,sijui ni kwa nini,inabidi wakat wa kugawa wapewe native tanzanian kwanza,hawa wahindi wapewe second priority

Naaaaam UZAWA Mbele. Sipendi nisikie mtu anasema ni ubaguzi na kama ni ubaguzi basi NHC wamekuwa wakitubaguwa kwa miaka na mikaka kwa kuwapa wahindi tu nyumba za wote. Rushwa ilitawala wahindi walikuwa wakitoa mirushwa ili wakae kwenye hizo nyumba. Wahindi tunajua wana hela watolewe wakajenge ma estate ili nyumba za kupanga ziwe nyingi na siyo kung'ang'ania jumba sajili.
 
mi nawapongeza nhc kwa kuanzisha utaratibu. Wapangaji wanatakiwa kutoa taarifa, malalamiko mengine sijui director anaendesha bajaj au land cruiser anaileta ili kukanganya mjadala. NHC ina bodi na wakaguzi wake, asiwafundishe kazi. NHC wana kazi kubwa ya kufanya; 1. Kuhakikisha wapangaji sio wahindi kwa kiasi kikubwa 2. Wapangaji wanalipa gharama halisi kulingana na soko 3. Nyumba hasa zilizopo maeneo muhimu ya mjini kati zinakarabatiwa au kujengwa upya ili watu wengi zaidi wapange
 
Hakika mawazo ya vijana ni hatua mpya ya Taifa kusonga mbele japo busara za wazee ni grisi ya kuongezea uimara wao.Hakika shirika la nyumba kwa kuwa na sura ya management ya vijana ni ukombozi mpya wenye kuona ukweli na kudeal nao kwa faida ya Taifa na jamiii husika.

Wazee wetu walio kuwa watendaji wa wakuu wa mashirika hayo sio kuwa walikuwa si wachapakazi bali walikosa maono [vision] ya kuwa na ubunifu wa kuona ni namna gani wanaweza kulijenga shirika hilo likawa na sura ya kitaifa kuliko kuwa na sura ile ambayo miaka nenda ludi lilikuwa lilinaonekana kuwa ni shirika la nyumba la baadhi ya watu wachache wenye asili ya kiasi na kiarabu tu.

Ndio Mwalimu JK Nyerere ni kiongozi aliyelitendea Taifa hili makubwa,lakini kwa upendo wake juu ya ubinadamu.Lakini kwa kuwakumbatia na kutowashape wahindi kuwa na uzalendo ndio moja ya mapungufu ya Mwalimu.Aliwaaamini sana kwa kuwa baadhi ya marafiki zake wa kweli katika ushauri walikuwa ni wahindi.hivyo nae akapitiwa kwa kuona mazuri ya wachache ndio muonekana wa wote.Lakini wahindi na waarabu au jamii yoyote toka bara la asia kwa kweli katika kuishi na jamii ni vyema kukawa na uangalifu wa kalibu kuliko kuwachukulia katika mizani moja.

Kwa kuwa ulimwengu wote siku hizi ni kijiji kimoja,ni vyema jamii ikajifunza mambo ya msingi sana katika kihaiba na nasaba.watu wa kutoka bara asia haswa wahindi na waajemi ni watu ambao wanapenda sana kuonga [Mchezo uliozaliwa na lobbing] ili wafanikishe mambo yao.Ndio maana dunia nzima watu hawa wanajurikana kwa tabia hiyo ya kuonga wakiongozwa na kinala wao wa duniani kwa tabia ya kuongo warebanoni.

Ndio chanzo cha kuturithisha na msemo wa kiarabu na kiajemi ambao kiswahili unasema "Kwenye uzia penyeza rupia" yaani unapoona kuwa una mambo yasiyoenda sawa basi wewe toa kitu ili mambo yako yaenda sawa.Ni misemo ambayo imetuzalishia vigezo vya kutetea uharibifu kwa mgongo wa wahenga wetu.Ifike hatua misemo kama hiyo imepigwe marufuku kwa kuwa iemepitwa na wakati kwa kizaiz hichi sasa chenye kujali na kuthamini utu na haki ya mtu.

Kwa kuwa hawa jamaa wamekuwepo vizazi vyao vimekuwapo toka miaka Tanganyika aijawa huru mpaka sasa Tanzania basi nao ni raia halali wa Taifa hili.Lakini tataizo langu kubwa na jamii hii ni huo muoneakano wao na matendo yao dhidi ya Taifa hili kuanzia wanavyoishi mpaka wanavyofanya shughuri zao.wanaaishi kama wanapita kuchuma na hapa Nchini sio kwao.Babu zao miaka ya nyuma wakati wamekuja kama wageni Tanganyika walikwenda vijijini kwa mababu zetu huko umatumbini, wakaishi na kupewa na wanajamii wa huko mabinti na ardhi kwa kukubalika kwa jamii husika.Ajabu baada ya kutajirika wakaamia mijini na baada ya kutajirika zaidi wakakimbilia kwenye majiji huku wakiwaachia historia kuwa waliishi kijijini fulani, na kuwa huko kwenye vijiji ndio kwenye asili yao, kumbe walikuwa wanawatengenezea wajukuu zao uhalali wa kisiasa hasa kwenye Taifa letu hili linalopenda kuchukulia mambo ya msingi katika jicho la ukarimu uliopitiliza.

Kwa shirika hili la nyumba huu ni mwanzo mzuri kuwa ili lengo lake la kutoa huduma basi huduma hiyo iende kwa walengwa na sio favour kwa wachache na kuacha Taifa likilaumu Serikali yao kwa kutowakwamua kwenye maisha yao.

Nilipata kugusia siku za nyuma kuhusu hawa jamaa waasia na waarabu na mfumo wao wa kuishi nasi Wamatumbi kuwa ni mfumo hatari kwa usalama wa Taifa letu. [Bofya Hapa].Hapa issue silo ubaguzi bali ni jinsi gani tunaishi na kushirikiana kama watanzania na sio sahihi kuangalia kuwa wakiwa marekani wanaishi kwenye mitaa yao au wakiwa canada wanaishi vipi.Tujenge mfumo utakao zalisha mfumo bora hata kuigwa na mataifa mengine.Moja ya athari za kuishi hivyo kiasia na kiarabu ndio maana wakachomewa maduka na makazi yao Uingereza.Leo hii wamekuja wachina wanaishi Mbagara na Tandika uswahilini.

Kwa faida ya Taifa hongera sana vijana wapya menagement ya NHC,wazee wetu walichemka ni nafasi yenu kuonyesha visheni ya Taifa lisilo wababaikia wala kuwatukuza waasia na waarabu bali tunaheshimiana kwa uwezo wa mtu [content] na si nani anamilki rangi gani au mali kiasi gani?

Manake hawa jamaa wanavibaraka wao kisiasa wasio na akili na wapumbavu wasio fikilia kwa akili na kichwa bali kwa makalio uenda wakawatuma kuja kuwavuluga vijana hao hao kutimiza matakwa yao,kama walivyocheza mchezo mchafu wa kuwavulugia wadau wa UDA,japo japo ni mchezo mchafu lakini ukiwa na good intention.

Kuwa tajiri sio dhambi dhambi itabebwa na ni mbinu gani zimetumika kutengeneza utajiri huo
,hawa jamaa wahindi na waasia daima walio wengi uwa wanachukia sana wakiona mmatumbi anamiki mali,wamezoea kuwaona viongozi na wafanyakazi wachache vibaka wakikimbiza na kuwapa wao madeal na miradi ya kuliibia Taifa na kisha wao pia kuwaibia hao wezi kwa kuwa wanajua hawana pa kushitaki kwa mali ya wizi.

Hivyo wakiambiwa wamekaa kwenye nyumba hizo wanapaswa kutoka kuwapisha watanzania wengine wanaonza maisha wawezeshwe kuweza kuishi nao na kufurahia matunda ya bidii ya Serikali yao kuwawezesha.Kwa hili hii nayo ni hatua bora hongera zake JK, kwa kuwapa vijana madaraka na rungu wafanye kazi kwa faida ya Taifa.
 
Sijambo la kushangaza kwa binadamu wenye alisili moja kukaa eneo moja, mimi sioni tatizo hapo, ndiyo maana katika nchi zilizo endelea kuna China town, Jamaican communities n.k



Sehemu yoyote yenye jamii kubwa fulani ya watu wa asilia moja ambayo inajitosheleza kiuchumi (ajira, matumizi ya kila siku) bila ya kwenda mbali na wanapo kaa ili kupata matumizi yao, huwa na tabia ya kubaki na utamaduni wao ikiwemo lugha, mavazi n.k.

Ukienda kusini mwa Marekani kwa mfano, katika majimbo ya Texas, New mexico na California kuna wamarekani wengi wenye asili ya kilatino ambao hawajui kabisa kiingereza. Hii ni kwasababu jamii yao haina haja ya kwenda nje ya circle yao kupata mahitaji ya kawaida kwahiyo wanabaki na utamaduni wao.

kwahiyo kama wahindi wanaongea kiswahili kibovu sio ishu kwasababu hakuna sheria inayo lazimisha kuongea kiswahili fasaha.


Hizo nyumba walijenga wao, Nyerere ndo aliwanyan'ganya sasa tatizo likowapi kukaa pale walipojenga? Kama kuna baadhi wano kiuka sheria hapo unahaki ya kusema laiki eti hawajichanganyi? Hapo inakuwa ngumu kukuelewa.

Hakuna mtu analazimishwa kupanga mahali fulani, na unakaa mahali kutokana na makubaliano kati ya wewe mwenyewe na mwenye nyumba. Sasa mwenye nyumba (NHC) anakusanya data za wapangaji wake, wanaotaka kukaa they have to comply if not get out. Njoo huku Vingunguti au wajajenge Chinatown yao wenyewe.

Tena ningekuwa mimi NHC ningeweka masharti mengine, kama kila Jumatatu wapangaji wote wavae mabatiki:) Unataka uhuru kajenge!
 
Sina hakika kama Data hizo zitasaidia sana kutatua wengi wanachodhani ni tatizo "Nyumba nyingi kukaliwa na wahindi wakilipa bei ndogo wakati wao wanavipato vikubwa"!

Kwanini?

Nyumba nyingi utakuta mpangaji aliyeandikwa kule NHC ni Masanja lakini makazi wa ukweli pale Upanga ni Somji. Hili ndilo lilikuwa tatizo kuu, na Magufuli alipokuwa pale alijaribu kupambana nalo lakini je kweli majina ya wapangaji yalibadirishwa? kama jibu ni La!

Then matokeo ya survey yatakuwa hivi:

84% ya nyumba za NHC zinapangishwa kwa watanzania wenye vipato vya chini

16% kwa waTz wenye vipato vya juu na wenye asili ya Kihindi..!

TAFAKARI
...!
 
Back
Top Bottom