Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Huyu jamaa anajua sana. Style yake ni ya kipekee sana.
Namkubaligi jinsi anavyokuza mambo. Unakuta kakitu kadogo lakini watu watakajadili kirefu. Pia movie zake hazitabiriki na zina violence za kutisha.
Nilikuwa naangalia Once upon a time in hollywood nikasema "afadhali hii aina violence za kikatili" kufika mwishoni ikabadilika vibaya mno. Movie gani ilikufanya umkubali huyu jamaa? Django unchained, The hateful eight ,Pupl fiction au........
Namkubaligi jinsi anavyokuza mambo. Unakuta kakitu kadogo lakini watu watakajadili kirefu. Pia movie zake hazitabiriki na zina violence za kutisha.
Nilikuwa naangalia Once upon a time in hollywood nikasema "afadhali hii aina violence za kikatili" kufika mwishoni ikabadilika vibaya mno. Movie gani ilikufanya umkubali huyu jamaa? Django unchained, The hateful eight ,Pupl fiction au........