Queen Darleen kazidi kukaa uchi jamani!
Nguo zake zote ni mapaja njenje,hata katika press za maana anaenda hivyo hivyo.
Queen ni mkubwa sana,kaanza kuimba muziki wakati sisi wadogo zake tuko primary huko...ni vyema akabadilika.
Ni maoni tu maana mwisho wa siku maisha ni kuchagua,naye ndio maisha aliyojichagulia.
Period