Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,645
Baada ya majivuno makubwa kuwa CCM imejivua gamba, leo Mh. Mnyika wakati wa kipindi cha maswali kwa waziri mkuu, alimtaka aeleze kama atakuwa tayari sasa kuzungumzia kashfa ya MEREMETA. Waziri mkuu aliendelea na msimamo wake wa kutozungumzia suala hilo.
My take: Kama kujivua gamba hakutaendana na dhamira ya dhati ya kupambana na vitendo vya ufisadi serikalini, basi CCM imewahadaa watanzania kwamba imejivua gamba, wakati ukweli ni kuwa IMEBADILI RANGI YA GAMBA.
My take: Kama kujivua gamba hakutaendana na dhamira ya dhati ya kupambana na vitendo vya ufisadi serikalini, basi CCM imewahadaa watanzania kwamba imejivua gamba, wakati ukweli ni kuwa IMEBADILI RANGI YA GAMBA.