Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,262
- 31,640
Sasa utawala wa ayatollah umetoka wapi wakati hapa tunazumngumzia Israel? Kama unataka nikujibu nitakujibu. Nao Iran wana makosa yao kwa wananchi wao lakini haiwafanyi Israel wawe watakatifu. israel ni hatari kwa duniaUzuri nimekuuliza hao wanapinga utawala wa Ayatollah huko Iran wewe huwaoni bali kwa kuwa umemezeshwa uongo na waarabu nawe ukaufakamia bila kujua!!
Umejazwa CHUKI za kijinga za waarabu dhidi ya Wayahudi!!