Qatar kuuzia Ujerumani gesi kwa miaka 15

Mkuu Msumbiji wenzetu wemeshaanza kusafirisha gas,ni Sisi tu ambao tumezubaa.

Hawa watu wanadhani Urusi ndo mwenye Gas Peke yake hawajui kama huko duniani watu wanahangaika na fursa hivi sasa kila nchi yenye gas inatolea macho soko la Ulaya, Israel imeanza kuchimba gas,Canada,Australia,Norway,USA,Qatar,nk huko kote wanahaha kuongeza uzalishaji miaka mitano ijayo huyo Mrusi tutaona kama ataendelea kua na jeuri na hiyo Gas yake.
Russia ndio makao makuu ya malighafi zote, mafuta, gesi, almas, dhahabu,nafaka, mbao, etc,,
Opec karibuni wanakata tena uzalishaji pipa milion 2 kwa siku, maana yake mafuta yatashoot,, hiyo peke yake inaipa Russia advantage,
Qatar yuko na Russia, ndo maana kamvuta germany kumps gesi hadi 2026,, anajua hadi miaka hiyo ifike pataeleweka,
Waarabu washajua nchi za magjaribi zinakugeuka mda wowote,
Biden alifunga safari kwenda saudi arabia kuomba opec wasishushe uzalishaji,, king wa saud akagoma na akawa hapokei hata simu za mzee Biden😁
 
Suala sio kununua gas..suala ni kununua kwa bei gani...Huoni Macron alivohoji USA...gharama kubwa ya gas....

Huwezi kulinganisha gas ya tankers na pipe...
Macaron kaenda marekani kuwambia wamarekani wapunguze bei ya gesi wanayowauzia, au lah, patakuwepo vita vya kiuchumi kati ya europe na US
 
Hata Marekani haikudhani kama waarabu wangegoma kuiuizia mafuta miaka ya 1973 na kusababisha oil crisis mbaya zaidi kushinda ya hii Leo.

Halafu ujue kutofautisha Kati ya GDP na Budget ya nchi!!!
Mi nimeongelea GDP, wewe umeongelea Bajeti, komaa na bajeti yako mi nimeongelea GDP.
 
China And India Are Buying Russian Crude At A 40% Discount

The European Union once again failed to reach an agreement on a price cap for Russian oil, with the bloc's eastern-most members including Poland, Estonia, Latvia, and Lithuania objecting that the proposed $60-$70 per barrel for Russian crude is too generous and well above the rates Russia currently sells crude.

Well, they are right: offering $70 per barrel for Russian Urals is incredibly generous, considering that Bloomberg has just reported that China and India are currently getting them for half that price.

According to Bloomberg's oil strategist Julian Lee, Russia's flagship Urals crude oil traded at a massive discount of $33.28, or about 40% to the international Brent crude oil, at the end of last week. In contrast, a year ago, Urals traded at a much smaller discount of $2.85 to Brent. Urals is the main blend exported by Russia.
China And India Are Buying Russian Crude At A 40% Discount

The European Union once again failed to reach an agreement on a price cap for Russian oil, with the bloc's eastern-most members including Poland, Estonia, Latvia, and Lithuania objecting that the proposed $60-$70 per barrel for Russian crude is too generous and well above the rates Russia currently sells crude.

Well, they are right: offering $70 per barrel for Russian Urals is incredibly generous, considering that Bloomberg has just reported that China and India are currently getting them for half that price.

According to Bloomberg's oil strategist Julian Lee, Russia's flagship Urals crude oil traded at a massive discount of $33.28, or about 40% to the international Brent crude oil, at the end of last week. In contrast, a year ago, Urals traded at a much smaller discount of $2.85 to Brent. Urals is the main blend exported by Russia.
 
Screenshot_20221130-214134.png
 
Imani hizi za kidini ni za hovyo sana, yaani mtu anaacha kushabikia gesi ya Tanzania kuuzwa nje eti anashangilia gesi ya Russia kuuzwa nje. It's the epic of lunacy.
 
Mzee wapi nimeandika mafuta yatatupwa kabisa duniani?! Kwani matumizi ya Mafuta na Gas ni kwenye magari tu na kuzalisha Umeme!!!!!!!!!

Poland Kwa sasa ananunua Gas toka Norway ambayo inapita kwenye bomba jipya la Baltic,alikua ananunua toka Germany na Hungary kipindi kile mwanzoni mwa mwaka ambapo Baltic pipeline ilikua haijaanza, Baltic pipeline limeanza kupitisha Gas October. Na mpaka mwakani Poland watakua hawategemei tena Gas wala mafuta ya Russia. Hili bomba Kwa mwaka linapitisha 10bcm za Gas.

Pipeline Kati ya China na Russia inapitisha 50bcm ambapo hiyo pipeline mpya itaongeza 30bcm jumla zitakua 80bcm,wakati huo Ulaya pekee walikua wakinunua zaidi ya 155 bcm za Gas toka Russia.

Nikukumbushe tu Japan inategemea Gas ya Russia kwa 10% huwezi fananisha na Europe Kwa zaidi ya 40%.

Ulaya wanataka waondoke na utegemezi wa Gas ya Russia na si kuondoa kabisa Gas ya Russia kama walikua wakiitegemea kwa 40% ibaki 5%-10%. Ndio maana wanaingia mikataba na nchi nyingine na kuwekeza kwenye Teknolojia mpya kama Hydrogen, renewable ili kuondokana na huo utegemezi.
Hujasema inaachana kabisa ila umesema wanaachana na magari ya mafuta point yako ilikua ipi

Hapo UCHINA hilo bomba la hilo 80 nilasasa tu baada yakuongezwa matumizi na manunuzi ya Gas tokea RUSSIA hii project mpya haipo kwenye hio 80

Kama watakua wanategemea 10% kutokea RUSSIA bado wanamtegemea na point yako yakwamba RUSSIA kutegemea kwake nishati kujipatia kipato inakosa maana sababu pengo wanaloliacha wao linazibwa na wengine tena zaidi ya walokua wanachukua wao na ukijumlisha wanayochukua wao

Hao POLAND wanaochukua GAS huko NORWAY hio ilobakia wanachukua wapi nenda google


Yaani kuiacha NISHATI ya RUSSIA hilo musahau kabisa maana hata huo utegemezi wanapunguza kwamuda sababu taifa pekee linaloweza kuwapa NISHATI yauhakika ni RUSSIA

Mwisho mgogoro huu wa UKRAINE unazidi kumjaza RUSSIA mihela kuputia NISHATI yake alokua nayo nandio maana EU wanahangaika kuikea nishati yake bei elekezi ila wanchemka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni Data za IEA

How dependent is Russia on oil and gas revenue?

Revenues from oil and gas-related taxes and export tariffs accounted for 45% of Russia’s federal budget in January 2022. Considering current market prices, the export value of Russian piped gas to the EU alone amounts to USD 400 million per day. Total export revenues for crude oil and refined products currently amount to around USD 560 million per day, down from about 690 million a day in the first two months of the year.
Mbona sijakataa hili

Sasa hujiulizi hizo zilizobakia ambazo ndio nyingi zinachangiwa na kipi

Ndio kwanza leo naona 45% inakua kubwa kuliko 55% inayobakia hapo

RUSSIA anategemea NISHATI ila inamfaidisha n itaendelea kumfaidisha sababu hata wale EU na shost zake US walosema mwanzoni mwa SMO kwamba wanataka wayafanye mauzo ya NISHATI ya RUSSIA nje ya nchi yao kufikia zero washachemka na bado wananunua huko

Halaf nikukumbushe huo mkataba utaanza rasmi eti mwaka 2026 haya hapa kati kati GER watatoa wapi GAS au kwasasa wanapata wapi hizo NISHATI maana NIGERIA pipe bado na haitajengwa nakuhakikishia

OPEC+ huko wanazidi kuyapandisha mafuta bei kwakupunguza uzalishaji huu mwaka huu tuuombe sana uhai na uzima
Mwisho EU na US washachemka kuifanya RUSSIA isitegemewe kwenye NISHATI hapa DUNIANI RUSSIA hakukurupuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom