Qatar Airways route za Dar/KIA analeta mikangafu!

A380 zinayok sokoni ? Kwa nini jomoni ? Mbadallaa wake ?
Extremely expensive to operate. Kumbuka hii ilikuwa ni jibu la Airbus kwa Boeing 747 - mfalme wa anga wa miaka na miaka 👇

Screenshot_20240102_080043_Samsung Internet.jpg


Mwelekeo mpya ni ndege za ukubwa wa kati nyepesi na zenye injini mbili tu tena zisizokula mafuta sana. Hata Boeing waliachana na Boeing 747 kwa sababu gharama za uendeshaji zilianza kuwa kubwa sana japo nyingi bado zinapiga mzigo kama ndege za mizigo. Wanaodumu Kwenye biashara ni wale wanaonyumbulika na kujishabihisha na mabadiliko yanayoletwa na muda na teknolojia. Ukishupaza shingo unakuwa historia!

Screenshot_20240102_080107_Samsung Internet.jpg
 
Qatar Wapo vizuri sana kuliko Emirates. Ndege inavutia sana ndani halafu siti zake pana kidogo kuliko za Emirati.

Nilipanda airbus A350 kutoka Doha mpaka Houston masaa 15

Ilikua experience nzuri
Umepata bahati ya kupanda A350, usiombe kupanda Boeing 777 ya Qatar, viti ni vidogo kwa safari ndefu
airport kubwa lakini huduma sio za kuridhisha,
sitoipanda Tena Qatar Airways nipo tayari kuwapa Ethiopia pesa yangu kuliko Qatar, ukiwa na pass ya Tanzania ndio kabisa huthaminiwi,
itakuwa chaguo la mwisho kuchagua Qatar, simshauri mtu kusafiri na Qatar airways
 
Umepata bahati ya kupanda A350, usiombe kupanda Boeing 777 ya Qatar, viti ni vidogo kwa safari ndefu
airport kubwa lakini huduma sio za kuridhisha,
sitoipanda Tena Qatar Airways nipo tayari kuwapa Ethiopia pesa yangu kuliko Qatar, ukiwa na pass ya Tanzania ndio kabisa huthaminiwi,
itakuwa chaguo la mwisho kuchagua Qatar, simshauri mtu kusafiri na Qatar airways
May be ulipata experience mbaya! Kwa uzoefu wangu nimeshasafiri na mashirika ya ndege zaidi ya matano, Emirates, KLM, Delta Airlines, Rwanda Air etc.
So far Kwa experience yangu nimeona KLM na Qatar Wapo vizuri zaidi.
Qatar wana ndege mpya na pia rangi zao zinavutia zaidi.
 
May be ulipata experience mbaya! Kwa uzoefu wangu nimeshasafiri na mashirika ya ndege zaidi ya matano, Emirates, KLM, Delta Airlines, Rwanda Air etc.
So far Kwa experience yangu nimeona KLM na Qatar Wapo vizuri zaidi.
Qatar wana ndege mpya na pia rangi zao zinavutia zaidi.
Hata Mimi Qatar naipenda sana,poa zile Boeing 777 zao zipo vizru mbona.
 
May be ulipata experience mbaya! Kwa uzoefu wangu nimeshasafiri na mashirika ya ndege zaidi ya matano, Emirates, KLM, Delta Airlines, Rwanda Air etc.
So far Kwa experience yangu nimeona KLM na Qatar Wapo vizuri zaidi.
Qatar wana ndege mpya na pia rangi zao zinavutia zaidi.
Pia misosi ya kutosha kwenye Qatar. Ila kiukweli ndege nzuri zote zinaanzia kwenye center zao kwenda ulaya na nchi nyengine kubwa. Bongo nyingi haziji wanaleta za kawaida.

Nakumbuka nililipa 800k zaidi Ili nipande A380 from Dubai tu Guangzhou and it was worth it. Ile ndege achana nayo
 
Kinachotokea ni kuwa, airline zote zinakusanya abiria kutoka nchi zenye abiria wachache kwa kutumia ndege ndogo ili mkaungane makao makuu. Mfano emirate dar to Dubai wanaleta A380. ndege kama hiyo itatoka Nairobo to Dubai, Cairo to Dubai etc. Kisha pale Dubai to Guangzhou mnakuwa abiria wengi ,mnawekwa ndege kubwa kama A800
 
Hawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
Dharau tu! Ila Waafrika weusi hatujitambuwa KABISA KUHUSU HAWA WAARABU!
Wanataka hela zetu huku wakitudharau na kutunyanyasa..
Oman Air haina tofauti na KQ, Air Somalia, Air Tanzania au zile kampuni za ndege zenye huduma mbovu KUPINDUKIA!
POLE MWAMBA. ASANTE KWA KUILETA HUKU!
 
Pia misosi ya kutosha kwenye Qatar. Ila kiukwelo ndege nzuri zote zinaanzia kwenye center zao kwenye ulaya na nchi nyengine kubwa. Bongo nyingi haziji wanaleta za kawaida.

Nakumbuka nililipa 800k zaidi Ili nipande A380 from Dubai tu Guangzhou and it was worth it. Ile ndege achana nayo
A380 is huge! Nakumbuka mara kwanza kupanda ilikua 2016 from Dubai to JFK.
Straight 14 hours
 
Ila Kuna ndege naitamani kuipanda. Boeing 747,hii ndege naitamani sana.
Wengi tunatamani Sana kupanda Boeing 747, ila nahisi chances are slim. Mashirika Machache Sana Yana operate 747 kama ndege za abiria na route zao nyingi ni Asia. nadhani Lufthansa ndie operator pekee aliyebaki kwa ulaya.
Dutch for some reasons have tendency of being loyal to the Aeroplane they trust. Klm kwa mfano alioperate Douglas md 11 till the end.
 
Back
Top Bottom