GE2025 Qaswida ya Tunasimama na Mama imetoka Rasmi, Mambo yamechangamka hadi upande huu

GE2025 Qaswida ya Tunasimama na Mama imetoka Rasmi, Mambo yamechangamka hadi upande huu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Wakuu,

Sasa Tumefika mbali, hadi watu tunaotegemea kuhimiza usawa, haki na amani kwenye nchi yetu nao wameanza kuwa Machawa

Hii imefika mbali wadau kama huyu ni Sheikh inamaanisha anawaongoza, kuwaaminisha na kuwataka waumini wake wake wasimame na mama Oktoba 29, 2025 siyo tena kuwa chaguo la muumini huyo ambaye ni mwananchi

Uchawa na brainwashing inaendelea

------------

Mwimbaji wa Qaswida Maalim Bahlo Ameachia Qaswida yake mpya "Tunasimama na Mama" kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan


 
Fanya
Wakuu,

Sasa Tumefika mbali, hadi watu tunaotegemea kuhimiza usawa, haki na amani kwenye nchi yetu nao wameanza kuwa Machawa

Hii imefika mbali wadau kama huyu ni Sheikh inamaanisha anawaongoza, kuwaaminisha na kuwataka waumini wake wake wasimame na mama Oktoba 29, 2025 siyo tena kuwa chaguo la muumini huyo ambaye ni mwananchi

Uchawa na brainwashing inaendelea

------------

Mwimbaji wa Qaswida Maalim Bahlo Ameachia Qaswida yake mpya "Tunasimama na Mama" kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan


Fanya Chochote ili mradi upate mgao wako.
 
Kwenye nyimbo za injili ajitokeze muimbaji aimbe uchawa aone atakavyosasambuliwa mpaka akome na ndio itakuwa mwisho wake wa kuimba nyimbo za injili, yaani atakufa kiroho
 
Wakuu,

Sasa Tumefika mbali, hadi watu tunaotegemea kuhimiza usawa, haki na amani kwenye nchi yetu nao wameanza kuwa Machawa

Hii imefika mbali wadau kama huyu ni Sheikh inamaanisha anawaongoza, kuwaaminisha na kuwataka waumini wake wake wasimame na mama Oktoba 29, 2025 siyo tena kuwa chaguo la muumini huyo ambaye ni mwananchi

Uchawa na brainwashing inaendelea

------------

Mwimbaji wa Qaswida Maalim Bahlo Ameachia Qaswida yake mpya "Tunasimama na Mama" kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan


Hawa hawachanganyi dini na siasa?
 
Back
Top Bottom