East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,812
- 6,036
Alipata faida kidogo
Alipata faida kidogo
siku nyngne ukiwa na ela omba ushauri tatizo la wengi wetu ukiwa na ela unakengeuka akili na kuona wenzako wsio na ela wachawi au wapumbavuNimepigwa na hawa wezi wa Qnet wamenishawishi nikaingia nikanunua SAA mil 5 nitapata Mara mbili zaidi ya hapo.
Naomba mnipe pesa zangu tutauwana Mwaka huu mil 5 hivi hivi, then mpaka sasa bila bila nitakuja ofisini kwenu na polisi mambo ya utapeli iwe mwisho kabisa.
hakuna sio wajinga ila ni werevu mwingi sanaKuna wajinga wanazaliwa kila siku duniani
ndo hivo,ukienda kwenyue zile kampuni za kutafuta watu kama matawi utasikia mtu anatoa ushuhuda unajua mm kama sio forever living ningekuwa kijijini ,,ohh mimi nilikuwa Napata mshahra wa laki 1,,ohh mimi sasa hivi nimeoa na kujenga nyumba kisa kampuni hiiwanawafundisha watu uongo ukiingia mule hata kama wewe ni mchungaji utabadilika utakua tapeli muongo mjanja tu
Jizi hiliQnet ni biashara ya mtandao, hiyo ml5 ya saa ndio mtaji wako, ukishajiunga unawaunga na watu wawili wengine alafu unapata dollar 200 kwa kila mtu unayemuunga
Na halioni hata aibu yaaan 😂😂😂Jizi hili
Kuna watu washukuru tunakutanishwa na keyboard tuNa halioni hata aibu yaaan
Jizi lingineKwani ulivyoingia uliambiwa utapata iyo pesa mara 2 hata kama hujafanya kazi?? Ulipitia presentation zote ukaelewa biashara au uliingiaje.....Hakuna pesa za bure hata siku moja katika Dunia hii..Lazima ustruggle ndo uipate..Kama wewe uliingia ukijua Qnet ni kama Desi au D9 kwamba unaweka pesa then unapata pesa bila kuisotea basi ulipotea njia,utaishia kusema umu kwenye mitandao kwamba Qnet ni matapeli lakini mwisho wa cku utarudi tu na utafanyakazi mana Qnet ni Life time business...Utaondoka kimwili lakini kiuhalisia bado uko...TC yako inakungoja ukaitendee haki...
Qnet sio Pyramid scheme eti waliotangulia ndo wananufaika, mfano mzuri ni kama wewe umetangulia kuingia lakini kwa sababu ya kutokuelewa biashara umeamua kutulia na kuanza kuandika ujinga kwenye mitandao, sasa kuna mwenzio ataingia kesho ataielewa biashara atafanya kazi na kugundua kwamba Qnet ndo biashara aliyotakiwa kuifanya miaka 3 iliyopita ila hakupata iyo fursa......If you look for Negativity, You will get negativity and Viceversa is true....Muwe na mchana mwema......Good morning
Loh wife mzigobila shaka ana makalioMimi mwengewe wife kapigwa 5m. Akanishawishi na mimi kuingia. Nilishtuka mapema sana na nilileta hapa uzi kuhusu hii biashara. Ila mods baadae waliiondoa nadhani kwakuwa kulijitokeza maneno makali kwenye ule uzi
Mpaka sasa wife anaamini yupo sahihi. Na akiona nyuzi hizi anasema sisi hatuielewi qnet.
Na wewe umeambiwa JF inatoa mikopo? Au ndio unajitoa ufahamu? Hii nchi kuna wajinga wengi sana, humu hata majina tunatumia feki halafu unaomba mkopo. Zero kabisaDah mkuu acha tu
tunaombaga vimikopo vya laki humu jf lakini wapitaji kama hawa hua wanaangalia tu, lakini saa ya milioni 5 mtu ananunua bila shida
mimi sijamuelewa comments zote anazungumzia mkopo ganiNa wewe umeambiwa JF inatoa mikopo? Au ndio unajitoa ufahamu? Hii nchi kuna wajinga wengi sana, humu hata majina tunatumia feki halafu unaomba mkopo. Zero kabisa
Hahahah mkuuu we Ni mazafantaLoh wife mzigobila shaka ana makalio
Akili zao wanazijua hao
Vikwazo vya kiuchumimkuu ulilegeza au uliendelea kukazakuna mtu namsubiria kwenye kona, nishamwambia sijui hao alliance global ni uhuni haelewi. juzi naona kajaza vifurushi vya hao jamaa chumbani kwake
anajidai mtafutaji kunizidi juzi anahangaika hana hata mia nami nimeweka vikwazo vya kiuchumi ale matunda ya alliance
Mwaenzio kanunua cheni naye analia. Tuchape kazi miaka hii haina ujanjaujanja na ukishitaki utafungwa na pesa imesharudi serikalini ikajenge SGRNimepigwa na hawa wezi wa Qnet wamenishawishi nikaingia nikanunua SAA mil 5 nitapata Mara mbili zaidi ya hapo.
Naomba mnipe pesa zangu tutauwana Mwaka huu mil 5 hivi hivi, then mpaka sasa bila bila nitakuja ofisini kwenu na polisi mambo ya utapeli iwe mwisho kabisa.
Huu mchezo bora ubeti tuMwaenzio kanunua cheni naye analia. Tuchape kazi miaka hii haina ujanjaujanja na ukishitaki utafungwa na pesa imesharudi serikalini ikajenge SGR
Mkuu, sema ukweli. Uliweka ngapi, umevuna ngapi, umeingiza wangapi kwenye mzunguko wako na wanaendeleaje watu hao?Kwani ulivyoingia uliambiwa utapata iyo pesa mara 2 hata kama hujafanya kazi?? Ulipitia presentation zote ukaelewa biashara au uliingiaje.....Hakuna pesa za bure hata siku moja katika Dunia hii..Lazima ustruggle ndo uipate..Kama wewe uliingia ukijua Qnet ni kama Desi au D9 kwamba unaweka pesa then unapata pesa bila kuisotea basi ulipotea njia,utaishia kusema umu kwenye mitandao kwamba Qnet ni matapeli lakini mwisho wa cku utarudi tu na utafanyakazi mana Qnet ni Life time business...Utaondoka kimwili lakini kiuhalisia bado uko...TC yako inakungoja ukaitendee haki...
Qnet sio Pyramid scheme eti waliotangulia ndo wananufaika, mfano mzuri ni kama wewe umetangulia kuingia lakini kwa sababu ya kutokuelewa biashara umeamua kutulia na kuanza kuandika ujinga kwenye mitandao, sasa kuna mwenzio ataingia kesho ataielewa biashara atafanya kazi na kugundua kwamba Qnet ndo biashara aliyotakiwa kuifanya miaka 3 iliyopita ila hakupata iyo fursa......If you look for Negativity, You will get negativity and Viceversa is true....Muwe na mchana mwema......Good morning
Uliichukulia poa au serious? Miaka miwili sasa natarajia uwe milionea siyo muuza dagaa toka mwanzaIn Qnet kuna watu ambao watagrow na wengine watabakia hapo walipo ni wewe tu utakavyoichukulia hii biashara..., ukiichukulia serious itakulipa serious, ukiichukulia poa na yenyewe itakuchukulia poa...That’s all