kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,938
- 5,431
Rudisheni pesa zake acheni utapeliKwani ulivyoingia uliambiwa utapata iyo pesa mara 2 hata kama hujafanya kazi?? Ulipitia presentation zote ukaelewa biashara au uliingiaje.....Hakuna pesa za bure hata siku moja katika Dunia hii..Lazima ustruggle ndo uipate..Kama wewe uliingia ukijua Qnet ni kama Desi au D9 kwamba unaweka pesa then unapata pesa bila kuisotea basi ulipotea njia,utaishia kusema umu kwenye mitandao kwamba Qnet ni matapeli lakini mwisho wa cku utarudi tu na utafanyakazi mana Qnet ni Life time business...Utaondoka kimwili lakini kiuhalisia bado uko...TC yako inakungoja ukaitendee haki...
Qnet sio Pyramid scheme eti waliotangulia ndo wananufaika, mfano mzuri ni kama wewe umetangulia kuingia lakini kwa sababu ya kutokuelewa biashara umeamua kutulia na kuanza kuandika ujinga kwenye mitandao, sasa kuna mwenzio ataingia kesho ataielewa biashara atafanya kazi na kugundua kwamba Qnet ndo biashara aliyotakiwa kuifanya miaka 3 iliyopita ila hakupata iyo fursa......If you look for Negativity, You will get negativity and Viceversa is true....Muwe na mchana mwema......Good morning