Mwiba JF-Expert Member Oct 23, 2007 7,607 1,744 Sep 25, 2010 #1 Bado inaonyesha kuwa sasa mambo ni magumu kwa CCM na wasindikizaji.
J JokaKuu Platinum Member Jul 31, 2006 30,409 54,887 Sep 25, 2010 #3 ..ni kwa ajili ya kura za Uraisi wa Muungano Zanzibar. ..kwa upande wa Zenj, Prof.Lipumba atang'ara kuliko wenzake.
..ni kwa ajili ya kura za Uraisi wa Muungano Zanzibar. ..kwa upande wa Zenj, Prof.Lipumba atang'ara kuliko wenzake.
D Dedii Member Aug 16, 2010 76 7 Sep 25, 2010 #4 kwa zinjibar sawa lkn kwa bara piga garagaza ua mzinzi lazima achukuwe inji.