Kalenga ngedele itakuwaSasa si amelenga nyani au?
Siongeli jamaa naongelea Mwanadamu as a specie....Ndio maana akapewa silaha na risasi nyani hawatakiwi wale mahindi .
Wee hujui analinda kibarua chake? Je mwenye shaba angekuta nyani kala mstari mzima jamaa akiulizwa hiyo silaha ulipewa ya nini angejibuje
Statement za namna hii zinaonyesha namna askari walivyo wavivu kuwajibika, kwanini usiende moja kwa moja kufanya msako kama una nia ya dhati kutokomeza uhalifuAmetoa rai kwa watu wote wanaomiliki silaha bila kibali waache tabia hiyo na waanze kusalimisha silaha hizo wasisubiri Polisi tuwakamate, tayari tumepanga kufanya msako nyumba kwa nyumba kuzikamata"amesema Wankyo.
Ipo hiyo mkuu Kuna utetezi wake inaitwa mistake of fact as in R v Sultan Maginga na Kenya katika R v DelamereHuyu mpuuzi analeta utani Sana kwnye uhai wa watu.........Yani binadamu kavaa kabisa na nguo we useme Ni nyani????
Miaka michache iliyopita shamba la mkulima mmoja lilikuwa likivamiwa na nguruwe pori mara nyingi nyakati za usiku. Usiku mmoja akiwa na bunduki, alimuona nguruwe mkubwa, akampiga risasi. Asubuhi alipokwenda kuangalia, akamkuta kiumbe wa ajabu amejeruhiwa. Kuanzia kichwani hadi kiunoni ni mtu aliyekuwa jirani yake. Lakini kuanzia kiunoni hadi miguuni ni nguruwe. Ilibidi wazee wa kijiji wakutane wamzike bila kuuaga mwili wake.Huko ni kujitetea anaweza achiliwa maana hajaua
Nadhani wewe ni miongoni mwa walioelewaMiaka michache iliyopita shamba la mkulima mmoja lilikuwa likivamiwa na nguruwe pori mara nyingi nyakati za usiku. Usiku mmoja akiwa na bunduki, alimuona nguruwe mkubwa, akampiga risasi. Asubuhi alipokwenda kuangalia, akamkuta kiumbe wa ajabu amejeruhiwa. Kuanzia kichwani hadi kiunoni ni mtu aliyekuwa jirani yake. Lakini kuanzia kiunoni hadi miguuni ni nguruwe. Ilibidi wazee wa kijiji wakutane wamzike bila kuuaga mwili wake.
Hata kule Mlandizi, Pwani ilitokea mtu kumpiga nyani shambani, lakini siku ya pila ikaonekana maiti ya bibi kizee. Kilangila.
Miaka 55 bint?Huyo binti kafuata nini shambani kwa watu!
Nalog off
miaka 55 ataitwaje binti.Huyo binti kafuata nini shambani kwa watu!
Nalog off
Miaka 55 bint?
Naam ni Tatu bint BakariMiaka 55 bint?
Ndio jina lake ni Tatu bint Bakari.miaka 55 ataitwaje binti.