Putin kakanyaga pabaya

Mkuu lengo siyo kumpeleka kama hujajua, huo ni mtego tu, kama wangekuwa na lengo/uwezo wa kumkamata na kumpeleka huko basi kwenye hii vita wangekuwa washamvizia na kumuua. Hapo kuna kitu wanachochea kama siyo kuwachonganisha Warusi ndani kwa ndani.
🀣 Hawawez Putin ni mbabe kuanzia Urusi hadi Marekani. Hakuna wa kumbabaisha ni sawa leo hii useme eti kuna mtu wa kumnyoosha Jakaya bongo πŸ˜€!!!
 
🀣 Hawawez Putin ni mbabe kuanzia Urusi hadi Marekani. Hakuna wa kumbabaisha ni sawa leo hii useme eti kuna mtu wa kumnyoosha Jakaya bongo πŸ˜€!!2

🀣 Hawawez Putin ni mbabe kuanzia Urusi hadi Marekani. Hakuna wa kumbabaisha ni sawa leo hii useme eti kuna mtu wa kumnyoosha Jakaya bongo πŸ˜€!!!
Mkuu hata Jk akifanya ujinga kama wa Jiwe lazima atazinguliwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…