PUTIN kaichukulia poa UKRAINE

PUTIN kaichukulia poa UKRAINE

Kumbe kuna watu weupe hivi kiasi kwamba hawajui mkoloni ni nani? Hivi unadhani mataifa ya Afrika kukataa kuilaumu Urusi ni wapumbavu wa levo hizo? Sasa na kusaidia, wote mnaosapoti Ukraine mnaosapoti ushenzi wa ubaguzi wa rangi mbaya sana. Mnajitukana wenyewe kwa kushadidia mambo msiyoyajua. Acha kuongozwa na stori za vijiwe vya kahawa, fanya research, mbona mtandao upo tu?
tatizo lako unapigana dhidi ya watu na sio dhid ya Ukolon , Nyerere na Mandela walipigana dhidi ya Ukolon na sio Wakolon maana mkolon anaeza kuwa mtu yeyote mf Urusi leo ni mkolon kwa maeneo kama East Moldova na Kalongard , so Mkolon sio lzm awe mzung wa magharibi ila Ukolon haubadilik ni ule ule jana , leo na hata kesho , KAMA UNGEKUWA TIMAMU UNGEELEWA UNAPASWA KUUPINGA UKOLONI WA URUSI KWA MAJIRAN , HII TABIA IPO SIKU ITARUD KWA KASI KAMA URUSI AKIFANIKIWA KWA MAJIRAN ZAKE , BILA KUSAHAU MNA MADEN MEBG YA WAKURUNGWA SO INAEZA IKAWA SABAB YA KUTAWALIWA TENA nmeandika simple sana ila INAEZEKANA kama ilivyowezekana kwa mababu zenu walianza hv hv , Wakolon wapo pwan mtu anasema hawawez kuja bara huku unasahau kuwa bara ni karibu ukilinganisha na walipotoka Ulaya , MAKOSA YALE YALE TUNAYARUDIA KARNE YA 21
 
Kumbe kuna watu weupe hivi kiasi kwamba hawajui mkoloni ni nani? Hivi unadhani mataifa ya Afrika kukataa kuilaumu Urusi ni wapumbavu wa levo hizo? Sasa na kusaidia, wote mnaosapoti Ukraine mnaosapoti ushenzi wa ubaguzi wa rangi mbaya sana. Mnajitukana wenyewe kwa kushadidia mambo msiyoyajua. Acha kuongozwa na stori za vijiwe vya kahawa, fanya research, mbona mtandao upo tu?
ww jamaa huna akili timamu na nahis sina namna ya kukuelimsha maana ushameza sumu , hv ushawai ona hata mchezaj mweusi kweny timu ya taifa ya China au Urusi au N.korea ? au kwenye serikali zao ushawai ona mtu mweusi ? Ww bado una akili za Kimah na siez kukubadili , huez sikia mabaya ya Urusi au China au N.Korea maana ubaguz upo kila kitengo yaan huez pata sauti ya kujitetea ila West kuna uhuru wa media kukosoa ubaguz , sasa ww ulivyo mpumbav unaona ndo kama ubaguz upo tu huko wanakokemea ubaguz hadharan na unaandika uchafu wako kuwa Urusi hakuna ubaguz Yaan kichwan sifuri kbs , nafunga mjadala maana naona upeo wako mdg sana hujitambui
 
Kazi kwisha
Screenshot_20221118-215152_RT News.jpg
 
ww jamaa huna akili timamu na nahis sina namna ya kukuelimsha maana ushameza sumu , hv ushawai ona hata mchezaj mweusi kweny timu ya taifa ya China au Urusi au N.korea ? au kwenye serikali zao ushawai ona mtu mweusi ? Ww bado una akili za Kimah na siez kukubadili , huez sikia mabaya ya Urusi au China au N.Korea maana ubaguz upo kila kitengo yaan huez pata sauti ya kujitetea ila West kuna uhuru wa media kukosoa ubaguz , sasa ww ulivyo mpumbav unaona ndo kama ubaguz upo tu huko wanakokemea ubaguz hadharan na unaandika uchafu wako kuwa Urusi hakuna ubaguz Yaan kichwan sifuri kbs , nafunga mjadala maana naona upeo wako mdg sana hujitambui
Wewe ni mjinga na mpumbavu kabisa, unaleta western propaganda hapa? Siamini kama kuna Watanzania wapumbavu namna hii wasioweza kuchanganua mambo, stupid!!

Kwa muktadha huu wala sina haja kujadili na mpumbavu. Habari za kuangalia mioura eti mtu mweusi, lini umewahi kuketi kutazama ligi ya Urusi kwenye tv yako? Nani umewahi kumsikia akisaka nafasi kwenda kucheza soka Urusi? Haya wewe local hebu tutakuwa timu ya taifa ya Ukraine ina weusi wangapi?

Kwa mtu anayetazama mambo juu juu tu (not analytical) anasmini western media zina uhuru wa habari, fool!! Hicho mnacholishwa kinawafanya mfikiri kwa mtazamo wanaotaka wao, ukiwa mjinga utakuwa unasigia BBC, CNN, REUTERS nk ukiona ndio bora kwa habari. Ewe mpuuzi, hukuweza hata kujifunza kwa matukio ya vita vya Iraq? Vipi kuhusu Libya na Syria? Huo ujinga wa chemical attacks huko Syria mliokuwa mnalishwa ndio unaleta upumbavu wako eti Ulaya kuna uhuru wa habari?

Ngoja nikusaidie mwendawazimu wewe, Ulaya na Marekani kuna uhuru wa KUONGEA lakini hakuna UHURU WA KUFIKIRI. Wanakufundisha namna ya kufikiri kwa kukujaza upumbavu nawe utakuwa kama ulivyo hivi sasa, ukisifia ushenzi.

Kwa kukusaidia tu, usiwe na akili za kushikiwa, viko vyanzo vingi tu vya kuaminika, fanya your due diligence. Futa ujinga wako kijana, tazama show kama za kija George Galloway, MOATS nk. I bet hata hujui chanzo halisi cha huu mgogoro zaidi ya western narrative mnayojazwa na western media.

I challenge you, onesha wapi Russia inazuia uhuru wa habari nami NITAKUWEKEA HAPA upymbavu wa magharibi kuzuia uhuru wa habari. Ni aibu kubwa kuwa na watu wajinga namna hii who are spoon fed by Western corrup media. Kama umebaki na akili japo kwenye kisoda tu jiulize, ninyi chanzo cha kifo cha Aljazeera tv.

Stop praising western narrative.
 
Niambie NATO wana ndege vita zaidi ya elfu 20 na kibonde sijui kama hata 3000 anafikisha,mkuu acha kulinganisha NATO na vitu vya ajabu.
Siongei ujinga hapa, kama hujui Ukraine asingeweza kusimama na Russia japo mwezi mmoja then you are a layman. Tuseme basi Ukraine imemshinda Russia, you win!!
 
Pale kwako ukivamiwa na watu wenye silaha za moto na wewe una panga tu nafasi ikipatikana hutoomba msaada? Kupiga yowe ili usaidiwe ni moja ya namna ya kumshinda adui. Hakuna aibu katika hilo.
There you are, kwa hiyo Ukraine bila msaada wa west angeshasambaratika? Kwa nini unadhani Russia unazuiwa kupata support ya mataifa mengine yaliyo tayari kushirikiana nayo? Hivi unaelewa maana halisi ya huu mgogoro na nani mnufaika? Au na wewe unafuata western narrative!?
 
Ubaya wa Ukraine na west hauhalalishi ubaya wa kukwapua ardhi. Kuna namna nyingi za kupigana na huo ubaguzi wa rangi unaousema na sio kuchukua ardhi halali ya nchi nyingine.
Hilo pekee limeonyesha hujui maana ya huu mgogoro mkuu. Nakushauri Chambard kiundani halafu utagundua kwa nini imebidi iwe hivyo. Usiwe mhanga wa propaganda za Magharibi, hata Saddam mbwa hawa walimwangusha kwa kuwaaminisha watu ujinga kuwa ni mbaya. Gaddafi naye wamemtenda hivyo hivyo, tusiwe watumwa wa fikra mkuu. Fanya tafiti, utagundua Putin is a gentleman, ila kwa sababu west wana nguvu ya media ni wale wenye analytical thinking ndio wataliona hilo. Magharibi yamekuwa makao ya shetani.
 
tatizo lako unapigana dhidi ya watu na sio dhid ya Ukolon , Nyerere na Mandela walipigana dhidi ya Ukolon na sio Wakolon maana mkolon anaeza kuwa mtu yeyote mf Urusi leo ni mkolon kwa maeneo kama East Moldova na Kalongard , so Mkolon sio lzm awe mzung wa magharibi ila Ukolon haubadilik ni ule ule jana , leo na hata kesho , KAMA UNGEKUWA TIMAMU UNGEELEWA UNAPASWA KUUPINGA UKOLONI WA URUSI KWA MAJIRAN , HII TABIA IPO SIKU ITARUD KWA KASI KAMA URUSI AKIFANIKIWA KWA MAJIRAN ZAKE , BILA KUSAHAU MNA MADEN MEBG YA WAKURUNGWA SO INAEZA IKAWA SABAB YA KUTAWALIWA TENA nmeandika simple sana ila INAEZEKANA kama ilivyowezekana kwa mababu zenu walianza hv hv , Wakolon wapo pwan mtu anasema hawawez kuja bara huku unasahau kuwa bara ni karibu ukilinganisha na walipotoka Ulaya , MAKOSA YALE YALE TUNAYARUDIA KARNE YA 21
Huna ulijualo kuhusu ukoloni, tumia kichwa chako vizuri. Kuna open source info za kutosha, jibidiishe kutafiti mambo usiwe unaandika vijihoja visivyo na mashiko kana hivi. Unaweza kueleza kwa ufupi asili ya mgogoro kati ya Ukraine na Russia? Unajua nini?

Pili unaweza kueleza ukoloni mamboleo unaoendekezwa na Ulaya na Marekani? Hebu faranua ni kwa nini washenzi hawa wanavuruga na kuangusha mataifa yake yanayooata maendeleo ya kiuchumi na kuyarudisha zama za mawe?

Elezea mwanzo wa vita vya ugaidi na nani baba wa ugaidi duniani? Je wajua ugaidi ni silaha ya kuangusha mataifa? Nani anayenufaika na huu ufedhuli?

Ndipo ueleze ni wapi Russia imehusika na hayo? Huo ukoloni ilioufanya Russia ni kwa mataifa yapi? Urusi kaangusha taifa lipi? Usisahau kupitia mgogoro wa Afghanistan, Yugislavia, Mozambique nk ambako kumekuwa na ushiriki wa Urusi.

Nakusubiri
 
ww jamaa huna akili timamu na nahis sina namna ya kukuelimsha maana ushameza sumu , hv ushawai ona hata mchezaj mweusi kweny timu ya taifa ya China au Urusi au N.korea ? au kwenye serikali zao ushawai ona mtu mweusi ? Ww bado una akili za Kimah na siez kukubadili , huez sikia mabaya ya Urusi au China au N.Korea maana ubaguz upo kila kitengo yaan huez pata sauti ya kujitetea ila West kuna uhuru wa media kukosoa ubaguz , sasa ww ulivyo mpumbav unaona ndo kama ubaguz upo tu huko wanakokemea ubaguz hadharan na unaandika uchafu wako kuwa Urusi hakuna ubaguz Yaan kichwan sifuri kbs , nafunga mjadala maana naona upeo wako mdg sana hujitambui
Afu kukusaidia tu we lofa, North Korea, China, Russia hazikushiriki biashara yako pendwa ya watumwa. Hayo mataifa fedhuli unayopigia debe yalichujya watumwa ambao ndio leo mnaona watu weusi (zamani wakiitwa negros). Sasa kwa ufinyu wa fikra zako unadhani hawa jamaa ni wabaguzi sana.

Halafu unapotaja North Korea na kuona huna uwezo mzuri wa kufikiri. Ulitarajia uone watu weusi (maana tumebaki watumwa wa kulilia madaraka kwenye nchi za Wazungu) wakati taifa hilo kwa miaka yote limekuwa chini ya vikwazo vya mataifa kandamizi? Hebu tuambie ni lini WEWE mwenyewe umewahi kuwaza kusafiri kwenda Pyongyang kutafuta maisha? Kwa usalama wao hawataki ujinga, kwani hao ndugu zako wa magharibi wanatafuta namna ya kuliangusha taifa hilo.

Penda nchi yako, acha kulialia kutaka eti watu weusi waongoze Urusi, hao mashoga kina Obama hawana nafasi huko.
 
Siongei ujinga hapa, kama hujui Ukraine asingeweza kusimama na Russia japo mwezi mmoja then you are a layman. Tuseme basi Ukraine imemshinda Russia, you win!!
Kama unataka kusikia unachotaka kuliko uhalisia endelea na ujima wako sihitaji kumfurahisha mtu 🚮🚮
 
There you are, kwa hiyo Ukraine bila msaada wa west angeshasambaratika?
Ndio inawezekana, sijajua Russia angechukua ardhi kiasi gani kama Ukraine asingepata msaada.
Kwa nini unadhani Russia unazuiwa kupata support ya mataifa mengine yaliyo tayari kushirikiana nayo?
Anazuiwa na nani? Kwanini hili liwezekane iwapo ana ushawishi na nguvu za kiuchumi? Wote tunaijua nguvu ya Russia, kwann mataifa yasitake kushirikiana nae katika hili? Kwann jirani zake wanamuogopa na kutaka kujilinda naye badala ya kuogopa nchi kama USA na washirika wake?

Hivi unaelewa maana halisi ya huu mgogoro na nani mnufaika? Au na wewe unafuata western narrative!?
Eleza maana halisi ya huu mgogoro kama una elimu ya ziada. Nini tafsiri ya kufuata western narrative?
 
Hilo pekee limeonyesha hujui maana ya huu mgogoro mkuu. Nakushauri Chambard kiundani halafu utagundua kwa nini imebidi iwe hivyo. Usiwe mhanga wa propaganda za Magharibi, hata Saddam mbwa hawa walimwangusha kwa kuwaaminisha watu ujinga kuwa ni mbaya. Gaddafi naye wamemtenda hivyo hivyo, tusiwe watumwa wa fikra mkuu. Fanya tafiti, utagundua Putin is a gentleman, ila kwa sababu west wana nguvu ya media ni wale wenye analytical thinking ndio wataliona hilo. Magharibi yamekuwa makao ya shetani.
Boss, Achana na ubaya wa magharibi na uchafu wao hakuna anayewahusudu na hili nimeshalisema mara nyingi, West sio wema au wasafi, wana uchafu wa kutosha. Sasa twende kwenye sababu ya Putin kuvamia Ukraine na kushikilia maeneo. Kwann anachukua maeneo ya jirani yake? Toa hiyo elimu.
 
Upo mbali na huu mgogoro. Pale kuna maelfu ya Mamluki toka Nato ndio Putin ana deal nao sio Jeshi la Ukraine. Lengo la Putin sio kuishambulia na kuondoa Serikari! Bali ni kudhoofisha Ukraine na Ulaya yote kiuchumi na kuiporomosha USA kiuchumi. Hivyo hii Vita haitaisha Leo wala kesho.
 
Kama unataka kusikia unachotaka kuliko uhalisia endelea na ujima wako sihitaji kumfurahisha mtu 🚮🚮
Sitaki mawazo yako nataka kinachoendelea kwenye battle field. Kama unadhani Ukraine anaweza kuzalisha HIMARS etc basi una tatizo kubwa zaidi. Sina namna ya kukusaidia. Kama huwezi kuona kinachojiita jumuiya ya kimataifa (Marekani na NATO) wamejitahidi kuitengenezea mazingira Ukraine ishinde kwa kuwekea Urusi vikwazo, misaada ya pesa kwa Ukraine, silaha, mercenaries etc basi tena hamia vijiwe vya kahawa tu.
 
Kama hujui hizo basics basi mkuu. Let's call it a day.
Ndio inawezekana, sijajua Russia angechukua ardhi kiasi gani kama Ukraine asingepata msaada.

Anazuiwa na nani? Kwanini hili liwezekane iwapo ana ushawishi na nguvu za kiuchumi? Wote tunaijua nguvu ya Russia, kwann mataifa yasitake kushirikiana nae katika hili? Kwann jirani zake wanamuogopa na kutaka kujilinda naye badala ya kuogopa nchi kama USA na washirika wake?


Eleza maana halisi ya huu mgogoro kama una elimu ya ziada. Nini tafsiri ya kufuata western narrative?
 
Kama hujui hizo basics basi mkuu. Let's call it a day.
Ndio inawezekana, sijajua Russia angechukua ardhi kiasi gani kama Ukraine asingepata msaada.

Anazuiwa na nani? Kwanini hili liwezekane iwapo ana ushawishi na nguvu za kiuchumi? Wote tunaijua nguvu ya Russia, kwann mataifa yasitake kushirikiana nae katika hili? Kwann jirani zake wanamuogopa na kutaka kujilinda naye badala ya kuogopa nchi kama USA na washirika wake?


Eleza maana halisi ya huu mgogoro kama una elimu ya ziada. Nini tafsiri ya kufuata western narrative?
 
Boss, Achana na ubaya wa magharibi na uchafu wao hakuna anayewahusudu na hili nimeshalisema mara nyingi, West sio wema au wasafi, wana uchafu wa kutosha. Sasa twende kwenye sababu ya Putin kuvamia Ukraine na kushikilia maeneo. Kwann anachukua maeneo ya jirani yake? Toa hiyo elimu.
Nitaandika mkuu, leo niko tight
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom