Putin -Double ndiye ameonana na Trump?

Putin -Double ndiye ameonana na Trump?

Kosa lililofanywa na viongozi WA Iran kwenye mkutano wao na USA, Russia hawataki kulirudia

Mkumbuke vizur, Asilimia kubwa ya viongoz WA Iran waliofyekwa na Israel, ni wale waliokwenda kukutana na USA kwenye mazungumzo ya amani
 
You've to be proud with you only you and none else. Wabongo tuko proud mno kutaka kuonekana Kama mzungu ama kwenda kwa wazungu anaona ni Kama ametoboa.
I wish hata kisukuma kiwe lugha ya Taifa Halafu kiswahili kiendelee kuwa lugha ya kimataifa
Kwa akili hizi ulistahili baskel ya kijani kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom