Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Ila sio fair, mbona kuna Bands ni freaks na wanamtukana mpaka papa mfano 'CRADLE OF FILTH' walikuwa wamefanya live show inaitwa 'jesus is c*nt lakini wameachwa? Kuna msanii aliyechukua tuzo mwaka jana kwa kuwa msanii freak kuliko wote, anaitwa Marlin Manson na katika show zake anatukana dini, kuna nudes, anachana vitabu vya dini ila hawajamfanya kitu? Kisa hao Pussy Riot jioni ya show yao walisema hiyo show ni 'prayer to mother marry'! Bendi nyingi hazipendi kwenda Russia maana kule dini = siasa.
"Governments including the United States, Britain, France and Germany joined the chorus Friday, denouncing the sentences as disproportionate."
Na ndio maana nakuambia kuwa makao makuu Kanisa lao kuu lipo ndani ya Ikulu ya Urusi na ndio Putin na Medivedev wanaposali
na ukiwauiza warusi wenyewe wanakuambia kwa hii adhabu ni ndogo sana na wanakupa mfano kuwa ingekuwa ni Iran ama middle east kwa ujumla hawa wadada wangnyongwa ama wangeendelea kunywa kahawa?
Hivi kanisa lao lilianzishwa na serikali ehh?
Kanisa lilianzisha serikali.
Gaijin nchi kama urusi inaongozwa kibabe sana kwa hiyo sheria zinazofuatwa ni zile wanazozipenda wao na kule haki za binadamu wanajua kabisa kuwa ni zero ukilinganisha na nchi nyinine za europe
Dah, au ingekuwa Saudi Arabia, yakhe wangejuuuta.
na ukiwauiza warusi wenyewe wanakuambia kwa hii adhabu ni ndogo sana na wanakupa mfano kuwa ingekuwa ni Iran ama middle east kwa ujumla hawa wadada wangnyongwa ama wangeendelea kunywa kahawa?
Kama nchi nyengine hazitendi haki, hakumaanishi kuwa na Urussi isitende haki.
Kama kujilinganisha kwa nini wasijilinganishe na nchi nyingi ambazo hiyo bendi isingechukuliwa hatua za aina hiyo?
Ndio maana wale wabibi makomunisti na vibabu vinaona kuwa hiko ki adhabu ni kama vile wamewapa kahawa ya kunywa..prediction ili kuwa wapigwe miaka 15 sema makelele ya watu na kina Madonna hadi walienda moscow nadhani ndio wakaona isiwe issue ngoja tulegeze
Tangu lini mwamba ngoma akaivutia kwako??
dah... Too bad. Na huku tulianzishe kuwatetea. I can be a naked cowboy with my guitar.
which guitar?!!. . ., 🙄
Na wewe ni miongoni mwa hao waamba ngoma?