Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Mimi nakiri kabisa punyeto kuiacha ni maamuzi tu.. yani sema tu Naacha! Na moja ya sababu ya kuacha iwe ni matatizo inayokupa.. ubakumbatia vipi bomu ?
 
Bro ulichoongea hapo ndo tiba sahihi .Tangawizi ,mdarasini,karafuu, asali mbichi na maziwa fresh,green Vegetables , plenty of water , exercises,exclude porn associatives things ,busy mind and positive altitudes every moment without forgetting proper daily schedules of your activities .Within 3 to six months hata kama umefanya masterbation for 20 yrs utapona na utakuja kushukuru hapa .Usidanganyike na Viagra au utapeli wa kina dokta mwaka .
 
Thanks
 
Stori ndefu.. inshort wewe Ni mgonjwa usisingizie nyeto watu tuko mzigoni toka idd Amin atuvamie mpaka Sasa tunaendeleza
 
Hata huyu wangu huwa ana hizo pigo eti akijickia yeye ndo akuletee asa huo ni utopolo gani
Kwel kwa hali hii upinde utadumu na kudumu. Inaonekana kuna Irresponsibility nyingi sana kwa upande wa Wanawake. ndio mana Hayo ya upinde yakatokea kwenye hiyo loop. Ili kuokoa jahaz la wanaume.

Nikikaaga huwa nawaza mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…