Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,175
- 10,105
kuna jamaa yetu alikuwa na kauli kama hizi yeye mwenyewe akidai "anakunywa kistaarabu". sasa bwana uku na uku ikafika mahali mwili ukaumuka kama yule
Wengine wana matatzo yao pia na aina ya pombe.
Halafu kunywa kiasi na kunywa kistaarabu ninmambo mawili twafauti. Inawezekana alikua akinywa anakunywa nyingi mno lakini bado anakua mstaarabu ila kazidisha kiasi.
All in all sisi tunaokunywa tunatambua pombe ina madhara na kama hunywi usijaribu baki na juice ya embe.